Ee Yosef mwenye heri, tunakimbilia kwako, katika masumbuko yetu, na kishaomba shime ya Mchumba wako Mtakatifu, tunaomba pia kwa matumaini usimamizi wako. Kwa ajili ya mapendo uliyompenda nayo Bikira Mtakatifu, Mzazi wa Mungu, na kwa ajili ya tunza ya Baba, uliyomtunza nayo Mtoto Yesu, tunakuomba sana, utuangalie kwa wema, sisi tuliokuwa fungu lake Yesu Kristo, tuliokombolewa kwa damu yake, utusimamie katika masumbuko yetu, kwa enzi na shime yako.
Ee Mlinzi amini wa Jamaa Takatifu, uwakinge watoto wateule wa Yesu Kristo, ee Baba uliyetupenda mno, utuepusha na kilema chochote cha madanganyo na upotevu. Ee kinga yetu mwezaji,utusimamie huko juu mbinguni ulipo, tunaposhindana na wenye nguvu wakaao gizani. Kama vile siku za kale ukamwokoa Mtoto Yesu katika hatari ya kuuawa, na leo hivi, ulikinge Kanisa Takatifu la Mungu katika mitego ya adui, na katika shida yote, mtunze daima kila mmoja wetu, tupate mfano wako, tusaidie kwa msaada wako, kukaa na utakatifu maisha, kufa kifo chema, na kupokelewa mbinguni makao ya raha milele. Amina

Sala kwa Mtakatifu Yosefu

Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Bernard Oduor (Guest) on September 17, 2017
🙏💖 Nakushukuru Mungu
Wilson Ombati (Guest) on June 18, 2017
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
Lydia Wanyama (Guest) on April 20, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
Lucy Mushi (Guest) on April 1, 2017
🙏✨💖 Mungu atajibu maombi yako
George Tenga (Guest) on March 16, 2017
🙏❤️ Mungu ni mlinzi wetu
Betty Kimaro (Guest) on March 15, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
Joyce Nkya (Guest) on March 8, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
Lucy Wangui (Guest) on January 24, 2017
Rehema zake hudumu milele
Andrew Odhiambo (Guest) on January 2, 2017
Amina
James Malima (Guest) on December 30, 2016
Endelea kuwa na imani!
Diana Mallya (Guest) on November 26, 2016
🙏❤️ Mungu ni mkombozi
Anna Malela (Guest) on November 7, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
Victor Sokoine (Guest) on November 2, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
Violet Mumo (Guest) on October 14, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
Lydia Mzindakaya (Guest) on August 9, 2016
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
Victor Mwalimu (Guest) on May 30, 2016
Sifa kwa Bwana!
Janet Wambura (Guest) on April 16, 2016
🙏✨ Mungu atupe nguvu
David Ochieng (Guest) on March 18, 2016
🙏❤️💖 Baraka za Mungu ziwe nawe
Rose Amukowa (Guest) on December 10, 2015
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
Edward Lowassa (Guest) on December 7, 2015
Mungu akubariki!
Alice Mwikali (Guest) on November 8, 2015
🙏💖 Nakusihi Mungu
Thomas Mwakalindile (Guest) on August 14, 2015
🙏❤️ Mungu ni mwaminifu
Victor Kimario (Guest) on July 29, 2015
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi