Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Furaha (Guest) on February 18, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on January 25, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Sokoine (Guest) on January 1, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on December 13, 2021

🀣πŸ”₯😊

Kheri (Guest) on November 29, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on November 28, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Malima (Guest) on November 23, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Raphael Okoth (Guest) on November 20, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mwanakhamis (Guest) on November 3, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Malela (Guest) on October 23, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on October 13, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on October 7, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

George Mallya (Guest) on September 22, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 3, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on July 22, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Stephen Amollo (Guest) on July 16, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on June 23, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on June 15, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on June 12, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 30, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on May 15, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on May 14, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on April 24, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on April 4, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Chacha (Guest) on March 30, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on March 20, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on March 2, 2021

πŸ˜† Kali sana!

Alex Nakitare (Guest) on January 27, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Hassan (Guest) on January 7, 2021

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on December 8, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sharifa (Guest) on November 21, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Amina (Guest) on October 20, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on September 12, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on September 2, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on August 26, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Masika (Guest) on August 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Victor Kimario (Guest) on August 17, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on August 5, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Victor Kimario (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Betty Akinyi (Guest) on July 29, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Charles Mrope (Guest) on July 9, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Amir (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Husna (Guest) on July 4, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lucy Mahiga (Guest) on June 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on April 24, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on March 29, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rahim (Guest) on March 9, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nashon (Guest) on March 8, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Nancy Kabura (Guest) on March 6, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on January 10, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_4aa8f14f3b24f27d0d10130c804fafd5, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3