Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a818398b33644ee2595101d788e08abd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Unakumbuka haya enzi za shule?
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na hayaβ¦
1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwalim anakamata wachelewaj unaamua urudi nyumbani
2.unachukua kimbegu cha ubuyu unasugua sakafuni af unamuunguza mwenzio
3.mkiruhusiwa tu unakimbia unataka uwe wa kwanza kwenye njia yenu y kurudia nyumban
4.MTU akikukera unamfungia shule (mnapigana baada ya kufunga shule)
5.MTU akikunyima kitu chake unamwambia "Ahaa eeh utaona sa nne"
6.wadada wembamba ndo wanaongoza kwa kusuta wenzao
7.ukiibiwa daftar jipya unalia kuliko hata uliloandika
8.unajaza mapeni kwenye mkebe(compass) na mengine hayaandiki
9.vifaa vingine kwenye mkebe hujawahi hata kuvitumia mfano bikari labda utolee mwibaπ
10.hakuna habari nzur kama kuambiwa Leo hamna shule mwalim haupo
11.habari mbaya zaidi n kurud nyumban kutoka shule una njaa af unaambiwa chakula mgeni kaja tumempa
12.mtoto wa mwalim utamgundua tu kwanzia sweta begi na viatu vyake
13.usiombee umpige mtoto wa mwalim utataman uache shule
14.unatengeneza kifutio cha ndala af unatishia eti kinafuta hadi peniπ
15.ukaguzi na huna ufagio.. unaomba chelewa kwa watu af unaongeza kijiti katikati
16.siku ukienda na ufagio wanakagua maji, ukienda na naji wanakagua kuni au mboleaπ
π
Dah shule zetu hizi kiboko!!
Ipi umeipitia wewe
Share na wengine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a818398b33644ee2595101d788e08abd, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ...
Read More
Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,
N...
Read More
Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa...
Read More
Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ...
Read More
Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-
Read More
Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongeaβ¦
Naipenda sana kazi yang...
Read More
Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshaharaβ¦.. Mama mwenye nyumba akamwamb...
Read More
Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R...
Read More
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k...
Read More
Haya ndiyo majibu mazuriππππππππππ
Q: Umenyoa nywele?
Read More
Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"β¦halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao...
Read More
Alex Nakitare (Guest) on July 9, 2024
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Betty Kimaro (Guest) on June 7, 2024
Hii imenichekesha sana! ππ
Issack (Guest) on June 5, 2024
π€£ Sikutarajia hiyo!
Frank Sokoine (Guest) on May 24, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Agnes Sumaye (Guest) on May 17, 2024
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Stephen Kikwete (Guest) on May 6, 2024
ππ
Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2024
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Nashon (Guest) on February 21, 2024
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Paul Kamau (Guest) on February 5, 2024
ππ€£ππ
Mercy Atieno (Guest) on January 30, 2024
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Victor Malima (Guest) on January 17, 2024
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on December 15, 2023
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Lucy Kimotho (Guest) on November 16, 2023
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
John Malisa (Guest) on November 1, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Stephen Amollo (Guest) on October 16, 2023
ππ
Nancy Kawawa (Guest) on October 1, 2023
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Tambwe (Guest) on September 18, 2023
π Ninaihifadhi hii!
Esther Cheruiyot (Guest) on September 14, 2023
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
George Ndungu (Guest) on September 7, 2023
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Margaret Mahiga (Guest) on September 5, 2023
π Siwezi kuacha kucheka!
Charles Mrope (Guest) on August 10, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Kenneth Murithi (Guest) on August 2, 2023
Nimeipenda hii joke! ππ
Kenneth Murithi (Guest) on July 25, 2023
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Violet Mumo (Guest) on July 10, 2023
π€£π€£ππ
Majid (Guest) on June 28, 2023
π Nilihitaji hii!
Joseph Kawawa (Guest) on June 7, 2023
π Naihifadhi hii!
Victor Sokoine (Guest) on June 5, 2023
π Kali sana!
Abubakari (Guest) on May 4, 2023
π Umeshinda mtandao leo!
Nora Kidata (Guest) on April 27, 2023
πππ π€£
Agnes Sumaye (Guest) on April 11, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Bernard Oduor (Guest) on April 9, 2023
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Patrick Kidata (Guest) on April 2, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Mgeni (Guest) on March 29, 2023
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
John Kamande (Guest) on March 26, 2023
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Jane Muthui (Guest) on March 23, 2023
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2023
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Wilson Ombati (Guest) on March 14, 2023
ππ€£ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on February 16, 2023
Nimefurahia sana hii! π π
Bakari (Guest) on February 8, 2023
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Shani (Guest) on January 28, 2023
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Brian Karanja (Guest) on December 31, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Joseph Kitine (Guest) on December 27, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
George Wanjala (Guest) on December 18, 2022
π πππ
David Chacha (Guest) on November 13, 2022
π Nacheka hadi chini!
Leila (Guest) on November 8, 2022
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Jaffar (Guest) on November 5, 2022
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Kheri (Guest) on August 20, 2022
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Nicholas Wanjohi (Guest) on August 4, 2022
π Nacheka hadi nalia!
Esther Cheruiyot (Guest) on July 19, 2022
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
John Lissu (Guest) on May 31, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Mariam (Guest) on May 24, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Charles Mboje (Guest) on May 24, 2022
π Hii ni kali sana!
Thomas Mtaki (Guest) on May 18, 2022
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Maimuna (Guest) on May 5, 2022
π Nilihitaji kicheko hicho!
Joseph Kitine (Guest) on April 14, 2022
π€£ππ
Patrick Kidata (Guest) on April 11, 2022
π πππ
Wilson Ombati (Guest) on April 4, 2022
ππ ππ
Rubea (Guest) on March 28, 2022
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Hekima (Guest) on March 10, 2022
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Sarah Karani (Guest) on February 23, 2022
ππ€£ππ