Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ni kwa nini tunapata Mateso na shida katika Maisha? Kwa nini Mungu ameruhusu tuteseke?

Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu.


Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.


Mateso yanaweza kuwa malipizi ya dhambi kama adhabu au Majitoleo .


Mtu anaweza kujitesa au kukubali Mateso huku akiyachukulia kama malipizi ya dhambi zake au dhambi za wengine.


Sio rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kukubali au kujitesa kwa ajili ya dhambi hasa kwa dhambi zisizokua zake, Ni watu wachache Wenye fadhila hii. Mfano Watakatifu kama Mt. Faustina aliweza kuchukua Mateso kama malipizi ya dhambi hasa za watu wengine ambapo alikubali magonjwa shida na Kudharauliwa kama malipizi ya dhambi.


Yesu mwenyewe pamoja na Umumgu na Enzi yake alikubali Mateso kama Malipizi ya dhambi za watu na Kama njia ya Kuonyesha Unyenyekevu na Upendo.

Kumbuka, Mateso ni njia ya Kuonyesha unyenyekevu, Upendo na Kujitolea kwa hiyo ni kama malipizi na majitoleo hivyo sio lazima mtu ateseke au Ajitese ili aokolewe au aingie Mbinguni.


Mungu hapendi mtu ateseke ila anakubali Mateso kama njia ya kupima mtu na kumtakatifuza.

Mateso = Malipizi = Majitoleo = Kipimo cha Imani na Matumaini kwa Mungu

KUMBUKA: Ni kwa njia ya Mateso na Kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo sisi tuliokolewa. Mababu wote Kwenye Biblia na Manabii walipitia dhiki na Mateso, Hata mitume nao waliteseka


Sio mara zote Mateso na Shida maana yake ni kuachwa na Mungu au Kuadhibiwa na Mungu, mara nyingine mateso ni majaribu, kipimo cha Imani na njia ya kujivika Utakatifu.


Mungu anakupenda sana, mtumainie yeye. Yote yanapita lakini yeye atasimama milele.

Mungu na Akubariki na kukupa Faraja.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 100

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Grace Minja Guest Oct 3, 2018
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Joyce Mussa Guest Sep 18, 2018
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Peter Mwambui Guest Sep 15, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Aug 24, 2018
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Andrew Mchome Guest Aug 18, 2018
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ James Mduma Guest Jul 22, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Jun 22, 2018
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Jun 22, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Benjamin Kibicho Guest May 28, 2018
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jan 27, 2018
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Jan 4, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Dec 2, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Nov 14, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Aug 24, 2017
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ David Chacha Guest Jul 25, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Jun 28, 2017
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Jun 7, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Jun 1, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest May 18, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Feb 7, 2017
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Jan 31, 2017
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Dec 10, 2016
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Oct 3, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Joseph Njoroge Guest Aug 30, 2016
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Jun 27, 2016
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Jun 5, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ James Kawawa Guest May 27, 2016
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Alice Mrema Guest May 27, 2016
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 18, 2016
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Feb 24, 2016
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Feb 15, 2016
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jan 22, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jan 10, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Nov 28, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Monica Nyalandu Guest Nov 18, 2015
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Nov 14, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Alice Wanjiru Guest Sep 29, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Sep 3, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Aug 14, 2015
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Thomas Mtaki Guest May 17, 2015
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About