
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Anna Malela (Guest) on July 15, 2022
ππ
Nchi (Guest) on July 2, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022
ππ
Ahmed (Guest) on June 10, 2022
π Hii ni kali sana!
David Kawawa (Guest) on May 19, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022
ππππ
Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
James Malima (Guest) on April 24, 2022
Hii ni ya maana sana! ππ
Rehema (Guest) on April 22, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022
πππ€£
Rahim (Guest) on March 5, 2022
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022
π€£ππ
Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022
ππ
Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022
πππ
Ibrahim (Guest) on January 18, 2022
π Bado nacheka!
Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021
ππ€£
Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Ndoto (Guest) on November 24, 2021
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021
Napenda jokes zenu! ππ
Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021
πππ π
Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021
π€£π€£ππ
Mwajuma (Guest) on September 5, 2021
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021
π Hii ni ya kuhifadhi!
Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021
π€£ Sikutarajia hiyo!
Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021
π€£π€£π
Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021
Hii ni bomba sana! π€£π
James Kimani (Guest) on April 17, 2021
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021
Hii imenikuna sana! ππ
Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Salma (Guest) on February 27, 2021
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020
Nimefurahia sana hii! π π
Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020
Nimefurahia sana hii joke! π π
Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020
π€£ππ
Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Rahim (Guest) on October 13, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Sultan (Guest) on September 16, 2020
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Zakia (Guest) on September 14, 2020
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020
ππ€£ππ
Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Joy Wacera (Guest) on May 25, 2020
π Ninacheka sana sasa hivi!