Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Sumari (Guest) on July 15, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Nchi (Guest) on July 2, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

David Kawawa (Guest) on May 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on May 13, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mwanahawa (Guest) on April 25, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

James Malima (Guest) on April 24, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 26, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on March 17, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on March 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Martin Otieno (Guest) on February 27, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Peter Mbise (Guest) on February 21, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Elijah Mutua (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on January 18, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Lissu (Guest) on December 22, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on November 29, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joyce Nkya (Guest) on November 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 20, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nora Kidata (Guest) on November 20, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on October 10, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwajuma (Guest) on September 5, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Akumu (Guest) on September 1, 2021

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mariam Hassan (Guest) on June 27, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on June 19, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nora Kidata (Guest) on June 3, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on May 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Sokoine (Guest) on May 12, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mahiga (Guest) on April 17, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

James Kimani (Guest) on April 17, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Monica Lissu (Guest) on March 22, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Jane Muthoni (Guest) on March 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Akinyi (Guest) on March 2, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Salma (Guest) on February 27, 2021

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 10, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 21, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on December 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on December 18, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 29, 2020

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 23, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on October 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rahim (Guest) on October 13, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Henry Sokoine (Guest) on September 28, 2020

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sultan (Guest) on September 16, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakia (Guest) on September 14, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Kendi (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Amollo (Guest) on July 10, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Njeri (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on June 5, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 5, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Related Posts

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact