Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?
Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyieβ¦Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.
Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.
Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tuβ¦..πππππ
Mustafa (Guest) on September 26, 2021
π Umenishika vizuri!
John Kamande (Guest) on September 22, 2021
ππ€£π
Elizabeth Mrope (Guest) on September 20, 2021
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Irene Makena (Guest) on September 12, 2021
ππ€£
Sarah Mbise (Guest) on September 6, 2021
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Mary Sokoine (Guest) on August 29, 2021
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Mariam Hassan (Guest) on August 22, 2021
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Shabani (Guest) on August 21, 2021
π Naihifadhi hii!
Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2021
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Halimah (Guest) on July 9, 2021
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
James Kawawa (Guest) on July 3, 2021
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Charles Mrope (Guest) on July 2, 2021
π πππ
Benjamin Masanja (Guest) on June 25, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Makame (Guest) on May 9, 2021
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Nancy Kawawa (Guest) on April 17, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Sarah Karani (Guest) on April 4, 2021
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Joyce Nkya (Guest) on March 11, 2021
Mna talent ya jokes! ππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on February 21, 2021
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Lucy Mushi (Guest) on February 6, 2021
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Faith Kariuki (Guest) on January 25, 2021
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Sarah Mbise (Guest) on December 17, 2020
π€£ππ
Kahina (Guest) on December 14, 2020
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Jabir (Guest) on December 3, 2020
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Thomas Mwakalindile (Guest) on November 29, 2020
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Irene Makena (Guest) on November 13, 2020
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Azima (Guest) on October 18, 2020
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Christopher Oloo (Guest) on October 17, 2020
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Aziza (Guest) on October 2, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Fredrick Mutiso (Guest) on September 27, 2020
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on August 30, 2020
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Peter Otieno (Guest) on August 22, 2020
π Nilihitaji hii!
Sarah Achieng (Guest) on August 8, 2020
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on August 6, 2020
π ππ
John Mwangi (Guest) on August 4, 2020
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Michael Onyango (Guest) on July 28, 2020
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Patrick Kidata (Guest) on July 3, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Asha (Guest) on June 20, 2020
π Kali sana!
Mary Kendi (Guest) on June 6, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Patrick Kidata (Guest) on May 20, 2020
πππ
Husna (Guest) on May 18, 2020
π Hii ni dhahabu!
Sultan (Guest) on May 12, 2020
π Bado nacheka!
Mariam Kawawa (Guest) on May 9, 2020
πππ€£
James Kimani (Guest) on May 5, 2020
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Joseph Kiwanga (Guest) on May 3, 2020
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Selemani (Guest) on April 10, 2020
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Alex Nakitare (Guest) on March 16, 2020
ππ π
Alex Nyamweya (Guest) on March 7, 2020
Hii imenikuna sana! ππ
Elizabeth Mrope (Guest) on March 4, 2020
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Nchi (Guest) on February 6, 2020
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Salima (Guest) on January 31, 2020
π Kicheko bora ya siku!
Elizabeth Mrema (Guest) on January 21, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
George Ndungu (Guest) on January 18, 2020
π Siwezi kuacha kucheka!
Betty Akinyi (Guest) on December 22, 2019
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Agnes Lowassa (Guest) on October 25, 2019
ππ
Susan Wangari (Guest) on October 1, 2019
π Nimeipenda kabisa hii!
Margaret Mahiga (Guest) on August 25, 2019
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Ann Wambui (Guest) on August 11, 2019
ππ ππ
Agnes Njeri (Guest) on July 25, 2019
Asante Ackyshine
Andrew Odhiambo (Guest) on July 19, 2019
π Umenishika vizuri!
Andrew Odhiambo (Guest) on July 13, 2019
Hii kichekesho inastahili tuzo! π