Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?
ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe James??
JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiweβ¦β¦"
Akameza mate kisha akaendeleaβ¦.
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!
Violet Mumo (Guest) on February 20, 2022
π€£π€£ππ
Farida (Guest) on January 7, 2022
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Jackson Makori (Guest) on December 30, 2021
π Lazima nihifadhi hii!
Chiku (Guest) on December 22, 2021
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Dorothy Majaliwa (Guest) on November 3, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Anna Mchome (Guest) on October 23, 2021
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Peter Otieno (Guest) on October 17, 2021
ππ π
Frank Sokoine (Guest) on October 15, 2021
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
George Tenga (Guest) on October 15, 2021
ππ€£
Nancy Kawawa (Guest) on October 8, 2021
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Henry Sokoine (Guest) on October 2, 2021
ππ€£π₯
Lydia Wanyama (Guest) on September 6, 2021
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Miriam Mchome (Guest) on August 7, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2021
π Kali sana!
Edward Chepkoech (Guest) on July 4, 2021
π Bado nacheka!
Irene Akoth (Guest) on June 28, 2021
π Ninacheka sana sasa hivi!
Rehema (Guest) on June 9, 2021
Asante Ackyshine
Mary Njeri (Guest) on April 22, 2021
π€£ππ
Francis Mtangi (Guest) on April 7, 2021
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Agnes Lowassa (Guest) on April 2, 2021
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Saidi (Guest) on March 6, 2021
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Josephine Nekesa (Guest) on February 15, 2021
Napenda jokes zenu! ππ
Patrick Akech (Guest) on February 7, 2021
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2021
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Agnes Lowassa (Guest) on January 10, 2021
ππ ππ
Paul Ndomba (Guest) on January 8, 2021
π Siwezi kuacha kucheka!
Joyce Mussa (Guest) on January 6, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2020
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Lucy Wangui (Guest) on December 1, 2020
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Husna (Guest) on November 21, 2020
π Kicheko bora ya siku!
David Kawawa (Guest) on November 18, 2020
π Nalia kwa kweli hapa!
Nancy Komba (Guest) on October 28, 2020
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Zawadi (Guest) on September 28, 2020
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Mwalimu (Guest) on September 13, 2020
π Kichekesho gani!
Elizabeth Malima (Guest) on September 13, 2020
πππ π€£
Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2020
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Thomas Mwakalindile (Guest) on August 17, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Amani (Guest) on July 14, 2020
π Hii imenigonga kweli!
Nancy Akumu (Guest) on July 13, 2020
Hii ni bomba sana! π€£π
Elizabeth Mrema (Guest) on May 26, 2020
ππ
Ramadhan (Guest) on May 9, 2020
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2020
π Nitaiiba hii bila shaka!
Zubeida (Guest) on April 19, 2020
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Halimah (Guest) on March 20, 2020
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Issa (Guest) on January 9, 2020
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Grace Minja (Guest) on January 8, 2020
π Ninakufa hapa!
Mwanahawa (Guest) on January 3, 2020
π Nimeipenda kabisa hii!
Robert Okello (Guest) on December 18, 2019
π πππ
Joyce Nkya (Guest) on December 2, 2019
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Omari (Guest) on September 28, 2019
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Salma (Guest) on September 16, 2019
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2019
π€£πππ
Henry Sokoine (Guest) on August 23, 2019
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Mary Mrope (Guest) on July 28, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Abubakar (Guest) on July 18, 2019
π Hii ni ya kuhifadhi!
Mwajabu (Guest) on July 15, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Daudi (Guest) on July 4, 2019
π Hiyo punchline!
Wilson Ombati (Guest) on July 1, 2019
ππ€£ππ
George Wanjala (Guest) on June 22, 2019
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!