Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"
Ann Wambui (Guest) on June 11, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Selemani (Guest) on May 23, 2019
π Nimeipenda kabisa hii!
Abubakari (Guest) on May 15, 2019
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Sarafina (Guest) on May 12, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
David Nyerere (Guest) on May 10, 2019
π πππ
Lucy Wangui (Guest) on May 3, 2019
Hii imenikuna sana! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on April 20, 2019
ππ€£π₯
Benjamin Kibicho (Guest) on April 20, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Mary Sokoine (Guest) on April 2, 2019
π Nacheka hadi nalia!
John Mwangi (Guest) on March 26, 2019
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Patrick Mutua (Guest) on March 20, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 15, 2019
Nimeipenda hii joke! ππ
Sofia (Guest) on January 28, 2019
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Stephen Amollo (Guest) on December 30, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Jamila (Guest) on November 12, 2018
π Bado nacheka!
Mercy Atieno (Guest) on November 9, 2018
Hii imenifurahisha sana! ππ
George Mallya (Guest) on November 4, 2018
Hii imenichekesha sana! ππ
Emily Chepngeno (Guest) on October 10, 2018
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Nancy Komba (Guest) on September 23, 2018
π Naihifadhi hii!
Mary Kendi (Guest) on September 12, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
David Nyerere (Guest) on September 4, 2018
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Grace Mligo (Guest) on August 27, 2018
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Joyce Mussa (Guest) on August 24, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Violet Mumo (Guest) on August 7, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Miriam Mchome (Guest) on July 23, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Charles Mboje (Guest) on June 23, 2018
π€£π€£ππ
Sarah Achieng (Guest) on June 20, 2018
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Sarah Achieng (Guest) on June 13, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Abdillah (Guest) on May 27, 2018
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Charles Mrope (Guest) on May 24, 2018
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Susan Wangari (Guest) on May 14, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
John Malisa (Guest) on May 3, 2018
Hii ni bomba sana! π€£π
Grace Mligo (Guest) on April 27, 2018
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Charles Wafula (Guest) on April 8, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Miriam Mchome (Guest) on March 26, 2018
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Wande (Guest) on March 16, 2018
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Sharon Kibiru (Guest) on January 25, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2018
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Mjaka (Guest) on January 9, 2018
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Ann Awino (Guest) on December 29, 2017
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Agnes Lowassa (Guest) on October 24, 2017
πππ€£
Anna Mchome (Guest) on October 5, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
George Tenga (Guest) on September 18, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Mercy Atieno (Guest) on September 9, 2017
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Leila (Guest) on September 6, 2017
π Nalia kwa kweli hapa!
Michael Mboya (Guest) on September 4, 2017
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Mazrui (Guest) on August 26, 2017
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Samson Mahiga (Guest) on August 25, 2017
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Susan Wangari (Guest) on August 24, 2017
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Alice Jebet (Guest) on July 26, 2017
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Samson Tibaijuka (Guest) on July 23, 2017
π€£π€£π
Esther Cheruiyot (Guest) on July 5, 2017
π Nilihitaji hii!
Josephine Nduta (Guest) on June 13, 2017
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Alex Nyamweya (Guest) on June 4, 2017
π ππ
Victor Kimario (Guest) on May 27, 2017
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on May 12, 2017
πππ€£
Jackson Makori (Guest) on May 11, 2017
π Hii ni kali sana!
Charles Mrope (Guest) on May 8, 2017
π Bado ninacheka!