Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisemaβ¦. "Baba na mama, ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka
juu ya meza, naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi, najua mtaumia kwa vile bado nasoma na ndiyo nipo kidato cha kwanzaβ¦" Napenda kuwajulisha kwamba sasa hivi mnaposoma hii barua sipo nyumbani, nimetoroka mana nimegundua
nina uwezo wa kujitegemea kwa sababu mi ni kijana mwenye umri wa miaka 14 na ninajua kipi chema na kipi kibaya.
Tangu mwezi mmoja uliopita nilikuwa na uhusiano nabinti mmoja aliyeitwa Rachel, mwenye umri wa miaka 27 na kwa sasa
ndo naishi naye kwenye chumba alichopanga. Nilipokuwa nyumbani sikuwa napata hela za kutosha ila sasa nimeanza kushika noti za shilingi 10,000β¦ Msichana niliyenaye ni mzuri sana wa umbo na ninampenda sana, amenifundisha njia za kutafuta hela.
Amenipangia kazi ya kuuza madawa ya kulevya na yeye ikifika
usiku anaenda kuuza mwili wake, basi kila siku tunapata hela ya kutosha, huyu mchumba wangu ni msichana mwenye bidii, kwa siku analala masaa 6 tu maana mwanaume yeyote akija lazima awe naye
chumbani kwa muda wa masaa 3.
Msiwe na hofu, nipo salama kabisa na nimeamua kumwoa Rachel mana ni kila kitu kwangu. Pia amenunua gari la kubebea mbao kwahiyo biashara inaenda vizuri.
Rachel ameenda kupima afya na amekutwa na upungufu wa kinga
mwilini, mara nyingi namridhisha anapotaka kitu flani, iwe kufanya naye mazoezi ya viungo au kufanya naye mapenzi, si mnajua unapokuwa na mgonjwa unakuwa naye karibu.
Ila mi pia sijihisi vizuri mana kila saa nakohoa tu na sina uhakika kama nimeathirika. Tumepanga baada ya miaka miwili tutawatembelea, nadhani mpaka miaka miwili iishe atakuwa
ameshajifungua, na ni furaha yangu mtamwona mjukuu wenu. Wazazi wangU, sina la kuongeza kwaherini Mungu
akipenda tutaonana.
NB: "Baba na mama, mimi nipo chumbani kwangu najisomea,
mnachokisoma ni h/work ya mwalimu wa kiswahili alituambia tutunge hadithi fupi ya kusisimua, naomba muiangalie kama kuna
makosa!"
Ingekuwa wewe hapo ndi baba au mama ungefanyaje? SHARE na wenzako wasome.
Hekima (Guest) on April 10, 2020
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Rose Mwinuka (Guest) on March 24, 2020
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Betty Kimaro (Guest) on March 11, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Joseph Kawawa (Guest) on March 8, 2020
π€£ππ
Jackson Makori (Guest) on March 3, 2020
ππ€£ππ
Lucy Mahiga (Guest) on March 2, 2020
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Anna Malela (Guest) on February 12, 2020
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Agnes Sumaye (Guest) on January 30, 2020
ππ
Susan Wangari (Guest) on January 27, 2020
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Khadija (Guest) on January 25, 2020
π€£ Hii imewaka moto!
Nora Kidata (Guest) on January 19, 2020
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Amir (Guest) on January 16, 2020
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Ramadhan (Guest) on December 21, 2019
π Kali sana!
Joseph Njoroge (Guest) on December 21, 2019
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Rabia (Guest) on November 24, 2019
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Nora Lowassa (Guest) on October 29, 2019
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Samson Tibaijuka (Guest) on October 10, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Shamsa (Guest) on September 19, 2019
π Lazima nihifadhi hii!
Tabitha Okumu (Guest) on August 23, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Mchawi (Guest) on July 21, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Nashon (Guest) on July 16, 2019
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Peter Mbise (Guest) on July 15, 2019
π Kicheko bora ya siku!
Anna Sumari (Guest) on July 6, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
John Malisa (Guest) on July 6, 2019
π Kichekesho kamili!
Thomas Mtaki (Guest) on June 11, 2019
π Dhahabu ya vichekesho!
Nancy Kawawa (Guest) on June 11, 2019
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Issa (Guest) on June 1, 2019
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Ruth Mtangi (Guest) on May 3, 2019
Mna talent ya jokes! ππ
Mary Njeri (Guest) on May 2, 2019
π Ninaihifadhi hii!
Lucy Kimotho (Guest) on April 29, 2019
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Simon Kiprono (Guest) on April 15, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Zawadi (Guest) on April 15, 2019
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Henry Mollel (Guest) on April 7, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Alice Jebet (Guest) on April 5, 2019
π Naihifadhi hii!
Benjamin Kibicho (Guest) on March 2, 2019
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Victor Mwalimu (Guest) on February 24, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Victor Kamau (Guest) on February 21, 2019
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Nora Lowassa (Guest) on February 19, 2019
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Nancy Kabura (Guest) on January 27, 2019
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Zubeida (Guest) on August 24, 2018
π Hiyo punchline!
Samson Mahiga (Guest) on July 29, 2018
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
David Musyoka (Guest) on July 6, 2018
Hii ni kali sana! ππ€£
Mwafirika (Guest) on July 5, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Edith Cherotich (Guest) on July 4, 2018
π πππ
Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Rose Mwinuka (Guest) on June 21, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Simon Kiprono (Guest) on June 13, 2018
Napenda jokes zenu! ππ
Christopher Oloo (Guest) on June 10, 2018
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Shukuru (Guest) on May 24, 2018
π Nilihitaji hii!
Samuel Were (Guest) on May 3, 2018
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Sarah Achieng (Guest) on April 27, 2018
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Joseph Njoroge (Guest) on March 22, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Esther Nyambura (Guest) on March 21, 2018
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Francis Njeru (Guest) on February 26, 2018
ππ€£ππ
Catherine Mkumbo (Guest) on February 15, 2018
ππ€£π₯
Miriam Mchome (Guest) on February 4, 2018
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Mary Njeri (Guest) on February 1, 2018
Hii ni ya maana sana! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on January 26, 2018
π Ninashiriki mara moja!
Amir (Guest) on December 30, 2017
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Joseph Kitine (Guest) on December 22, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ