Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoidoβ¦..leo nimetoka Likizo Moshi,
"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!
Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!β¦kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?β¦kwa Style ipi?
Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!β¦sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,β¦hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,β¦.hapa sasa nikapata wazo!
"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''
"Mia mbili tu Kaka!"
''Ok"
Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,
"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)
"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''
Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!β¦Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!β¦My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!
"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"
Kimyaβ¦
"Dogo huu Mzani vipi?"
Kimyaβ¦
Dogo ana dharau huyu!β¦Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!β¦.ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!β¦Dogo hakuwepo!β¦.na Mabegi pia hayapo!β¦lap top haipo!β¦.NIMEPIGWA!
Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!β¦.sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!β¦yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!β¦niitieni Ambulance!
ππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌ
Wande (Guest) on November 30, 2019
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Grace Mligo (Guest) on November 26, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Raha (Guest) on October 15, 2019
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Elizabeth Mrope (Guest) on September 19, 2019
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Faith Kariuki (Guest) on September 13, 2019
Hii ni bomba sana! π€£π
Charles Mrope (Guest) on September 13, 2019
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Joyce Aoko (Guest) on September 7, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Francis Mrope (Guest) on August 6, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elizabeth Malima (Guest) on August 6, 2019
π ππ
Nancy Komba (Guest) on July 27, 2019
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Anna Sumari (Guest) on July 22, 2019
Nimefurahia hii sana! ππ
Monica Nyalandu (Guest) on July 17, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Grace Mligo (Guest) on July 13, 2019
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Joy Wacera (Guest) on July 4, 2019
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Stephen Kikwete (Guest) on June 14, 2019
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Mwafirika (Guest) on June 14, 2019
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Saidi (Guest) on June 2, 2019
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Bernard Oduor (Guest) on June 1, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Dorothy Nkya (Guest) on May 7, 2019
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Wande (Guest) on April 24, 2019
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Mariam Kawawa (Guest) on April 18, 2019
π Nacheka hadi chini!
Esther Nyambura (Guest) on April 10, 2019
π Hii ni kali sana!
Halimah (Guest) on March 23, 2019
π Umeimaliza kabisa!
Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Ruth Kibona (Guest) on March 4, 2019
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Selemani (Guest) on March 3, 2019
π Ninashiriki mara moja!
Grace Wairimu (Guest) on February 26, 2019
π Nilihitaji hii!
Mohamed (Guest) on February 10, 2019
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Rashid (Guest) on November 29, 2018
π Lazima nihifadhi hii!
Betty Kimaro (Guest) on November 18, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Francis Mtangi (Guest) on October 24, 2018
π Kali sana!
Sarah Achieng (Guest) on October 24, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Issack (Guest) on September 30, 2018
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Joseph Kitine (Guest) on July 25, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Selemani (Guest) on July 17, 2018
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Salma (Guest) on July 1, 2018
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Samson Mahiga (Guest) on June 27, 2018
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Rose Lowassa (Guest) on June 20, 2018
Hii ni ya maana sana! ππ
Charles Wafula (Guest) on June 7, 2018
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Maneno (Guest) on June 7, 2018
π Hii ni ya kuhifadhi!
Mchawi (Guest) on May 31, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Ibrahim (Guest) on May 24, 2018
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Vincent Mwangangi (Guest) on May 18, 2018
π Kali sana!
Mchuma (Guest) on April 25, 2018
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Mary Sokoine (Guest) on April 15, 2018
Hii imenikuna! ππ
David Kawawa (Guest) on March 24, 2018
π Kali sana!
Mchawi (Guest) on March 15, 2018
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Husna (Guest) on March 12, 2018
π Ninakufa hapa!
Irene Makena (Guest) on February 21, 2018
πππ
Chiku (Guest) on February 14, 2018
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Janet Mwikali (Guest) on February 2, 2018
ππππ
Anna Sumari (Guest) on January 30, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Irene Akoth (Guest) on January 10, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Mercy Atieno (Guest) on December 23, 2017
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Andrew Mahiga (Guest) on December 17, 2017
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Mary Njeri (Guest) on November 13, 2017
π Ninaihifadhi hii!
Rose Amukowa (Guest) on October 12, 2017
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Thomas Mwakalindile (Guest) on October 8, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Elizabeth Mtei (Guest) on September 30, 2017
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Betty Kimaro (Guest) on August 6, 2017
Umesema kweli! ππ