Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoja tu, muuzaji
akamtoa akamuweka kwenye
mzani, akaonekana ana kilo moja na robo.

Mdada akamuuliza
muuzaji,’Huna mkubwa zaidi?’ Muuzaji
akamchukua yule kuku na
kujifanya kamrudisha kwenye friji, halafu
akamtoa tena kwenye friji na
kumrudisha kwenye mzani, safari hii
akagandamiza mzani kwa gumba,
kuku akaonekana ana kilo mbili. Mdada
akasema β€˜Duh afadhali huyu
mkubwa kidogo,Β naomba unifungie
nawachukua wote wawili
’

Mamaaaaa muuzaji sijui atatoa wap kuku wa piliπŸ˜‚

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…Hapo ndipo utagundua kwa nini MUWA co TUNDA 🚢🏽🚢🏽

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

George Mallya (Guest) on October 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Amir (Guest) on September 29, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on September 26, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Shabani (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 2, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Selemani (Guest) on August 20, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on August 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on July 31, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on July 15, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Paul Kamau (Guest) on July 12, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khatib (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Agnes Njeri (Guest) on June 7, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on June 2, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Rahim (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Issack (Guest) on April 30, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Miriam Mchome (Guest) on April 17, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on March 29, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on March 8, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mushi (Guest) on March 3, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on March 2, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 24, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Agnes Njeri (Guest) on January 15, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

James Kimani (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Masika (Guest) on January 6, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Mwikali (Guest) on December 26, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on November 10, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwakisu (Guest) on November 9, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Mrope (Guest) on October 20, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

David Ochieng (Guest) on October 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Wanjiru (Guest) on October 6, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mzee (Guest) on July 18, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Wilson Ombati (Guest) on July 7, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Henry Sokoine (Guest) on June 12, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Grace Majaliwa (Guest) on May 31, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Akoth (Guest) on May 30, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kawawa (Guest) on May 30, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on May 24, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Christopher Oloo (Guest) on May 16, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mushi (Guest) on May 14, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on May 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 6, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on March 29, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on February 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rubea (Guest) on December 17, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Hawa (Guest) on December 2, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Monica Adhiambo (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Richard Mulwa (Guest) on September 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on September 11, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Issa (Guest) on August 30, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Thomas Mtaki (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on August 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on July 26, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Mzee (Guest) on July 22, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Related Posts

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More