Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Mussa (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on September 5, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Nora Kidata (Guest) on September 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jamal (Guest) on August 19, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on August 14, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Nora Kidata (Guest) on July 21, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Biashara (Guest) on July 20, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on July 19, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on July 13, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on June 24, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on June 20, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jamal (Guest) on June 5, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on May 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on May 21, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on April 17, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Sokoine (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Mushi (Guest) on March 28, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 12, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

David Ochieng (Guest) on January 19, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Sarah Karani (Guest) on December 8, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on December 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Richard Mulwa (Guest) on November 30, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Malima (Guest) on November 29, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Janet Sumari (Guest) on November 29, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Mduma (Guest) on November 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Kassim (Guest) on November 26, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on November 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on November 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on September 4, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Mary Njeri (Guest) on August 19, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on July 31, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on June 10, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Mrope (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on May 28, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Hellen Nduta (Guest) on May 15, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on April 12, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Ruth Wanjiku (Guest) on March 17, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on March 9, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on February 19, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Daudi (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Benjamin Masanja (Guest) on January 20, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Victor Mwalimu (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Malima (Guest) on December 30, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 21, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on November 11, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on September 28, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 5, 2017

😊🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on July 30, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on July 20, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on July 20, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Raphael Okoth (Guest) on June 6, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Salum (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Related Posts

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact