Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza. Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe. Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza, 'Nyie mnafanya nini hapa?' Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Christopher Oloo (Guest) on June 13, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 21, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mushi (Guest) on May 16, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on May 7, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Umi (Guest) on April 23, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Peter Otieno (Guest) on April 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Mallya (Guest) on March 31, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on March 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 26, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on February 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Josephine Nekesa (Guest) on January 28, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 18, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on December 28, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on December 21, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 23, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Kidata (Guest) on November 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on November 12, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on September 15, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on July 1, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Janet Wambura (Guest) on June 28, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Anna Mchome (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on May 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on March 27, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

David Ochieng (Guest) on March 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Kamande (Guest) on March 15, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Abdullah (Guest) on February 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mugendi (Guest) on February 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Thomas Mtaki (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on December 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on October 9, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on September 23, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Ruth Mtangi (Guest) on September 7, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Habiba (Guest) on August 6, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Makena (Guest) on July 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 20, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on April 30, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 28, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 14, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on March 7, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Anna Mchome (Guest) on February 24, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 15, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on January 18, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Neema (Guest) on January 5, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Minja (Guest) on December 24, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Josephine Nekesa (Guest) on November 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Samuel Were (Guest) on November 19, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Karani (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

Duh! Hii sababu ya huyu mwanaume kulewa ni shida

πŸ‘§: "Mpenzi, nakuomba uache kulewa"

πŸ‘¨: "poa, na wewe acha ... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles