Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 12, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Mahiga (Guest) on May 17, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Paul Kamau (Guest) on April 24, 2024

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Ochieng (Guest) on March 18, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Binti (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Sumari (Guest) on February 29, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on February 6, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on December 15, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on December 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on November 20, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on November 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 12, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mwangi (Guest) on October 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 29, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kazija (Guest) on September 20, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Edward Chepkoech (Guest) on September 15, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Violet Mumo (Guest) on September 14, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on August 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Tambwe (Guest) on July 30, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mrema (Guest) on July 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 24, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on June 1, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jabir (Guest) on May 5, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Wangui (Guest) on April 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Khamis (Guest) on February 21, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on February 17, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on February 14, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on February 2, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ann Wambui (Guest) on January 22, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mwangi (Guest) on January 3, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 30, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on December 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Ali (Guest) on December 13, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Mushi (Guest) on December 11, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on December 6, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

David Sokoine (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on November 26, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Shamim (Guest) on October 10, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Andrew Mchome (Guest) on October 5, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on September 10, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on September 5, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on July 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abubakar (Guest) on July 9, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on April 21, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 6, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on February 13, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthoni (Guest) on February 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on January 8, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on December 30, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Wafula (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_90ab56f72d029b273940dc825fa13b28, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3