
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Janet Wambura (Guest) on November 27, 2019
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Mwanaidha (Guest) on November 9, 2019
π Hii ni ya kuhifadhi!
Grace Mushi (Guest) on September 14, 2019
π Bado ninacheka!
Anna Mahiga (Guest) on September 12, 2019
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Kazija (Guest) on September 2, 2019
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Betty Akinyi (Guest) on September 1, 2019
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Sarafina (Guest) on August 16, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Joseph Kawawa (Guest) on August 12, 2019
π Kichekesho gani!
Betty Kimaro (Guest) on July 30, 2019
π πππ
Betty Cheruiyot (Guest) on July 15, 2019
Nimefurahia hii sana! ππ
Fredrick Mutiso (Guest) on June 17, 2019
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on March 4, 2019
Nimecheka hadi machozi π€£π
Peter Otieno (Guest) on March 3, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
John Mushi (Guest) on February 15, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Margaret Mahiga (Guest) on February 10, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Monica Nyalandu (Guest) on January 24, 2019
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Daniel Obura (Guest) on January 17, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Edwin Ndambuki (Guest) on December 4, 2018
π Nilihitaji kicheko hicho!
Kevin Maina (Guest) on December 3, 2018
Kama kawaida! Bado nacheka! π
John Lissu (Guest) on November 11, 2018
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Susan Wangari (Guest) on October 21, 2018
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Stephen Malecela (Guest) on October 13, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
David Ochieng (Guest) on October 12, 2018
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Tabu (Guest) on September 29, 2018
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Ruth Mtangi (Guest) on September 17, 2018
π Hii imenigonga kweli!
Peter Mbise (Guest) on August 22, 2018
πππ π
Sharon Kibiru (Guest) on August 12, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Charles Mchome (Guest) on August 10, 2018
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
David Chacha (Guest) on August 5, 2018
π€£ππ
Anna Mahiga (Guest) on August 4, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Mazrui (Guest) on July 31, 2018
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Grace Wairimu (Guest) on July 23, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Mary Kidata (Guest) on July 22, 2018
ππ
Anna Kibwana (Guest) on July 5, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Agnes Sumaye (Guest) on May 24, 2018
π Bado nacheka!
Peter Tibaijuka (Guest) on May 17, 2018
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Victor Sokoine (Guest) on April 18, 2018
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Samson Tibaijuka (Guest) on March 24, 2018
ππ
David Nyerere (Guest) on March 24, 2018
Hii ni ya maana sana! ππ
Ruth Wanjiku (Guest) on March 20, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Omari (Guest) on February 7, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Yahya (Guest) on February 4, 2018
π Ninaihifadhi hii!
Rahma (Guest) on February 3, 2018
π Nimeipenda kabisa hii!
Jane Muthui (Guest) on January 30, 2018
πππ
David Chacha (Guest) on January 6, 2018
Huyu alikuwa na point! ππ
David Chacha (Guest) on January 2, 2018
Umesema kweli! ππ
Mwanais (Guest) on December 27, 2017
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Nuru (Guest) on December 26, 2017
π Ninacheka sana sasa hivi!
Lucy Mahiga (Guest) on December 17, 2017
ππ ππ
Masika (Guest) on November 25, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Joseph Kitine (Guest) on October 23, 2017
Nimeipenda hii joke! ππ
Simon Kiprono (Guest) on September 15, 2017
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Joyce Mussa (Guest) on August 15, 2017
ππ€£ππ
Alice Jebet (Guest) on August 3, 2017
ππ€£
Kevin Maina (Guest) on July 22, 2017
ππ€£π
Peter Mbise (Guest) on May 26, 2017
π Nacheka hadi nalia!
Nancy Kawawa (Guest) on April 4, 2017
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Jane Muthoni (Guest) on March 28, 2017
π Nacheka hadi chini!
Joseph Kiwanga (Guest) on March 27, 2017
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Victor Sokoine (Guest) on February 26, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ