Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..
Kwa wanywaji wazuri wa bia,
chupa ya kwanza πΊ huwa haileti hisia yoyote. Mnywaji humaliza chupa hiyo bila kuona matokeo yoyote zaidi ya kupoza kooβ¦ Na mara nyingi huwa mkimya, pengine huwa anasoma gazeti lake au kwa siku hizi anawasiliana na ndugu na jamaa kupitia simu yake.
chupa ya pili πΊπΊ kimsingi ndipo mazungumzo ya awali na wanywaji jirani huanza na haya huwa mazungumzo ya busara, yakihusu muelekeo wa ligi mbalimbali, siasa, idadi za ajali na kadhalika na wakati huu hata takwimu hutolewa zilizo sahihiβ¦.
Mtu anaweza kukutajia wachezaji wote wa ligi daraja la tatu la huko Ujerumani bila kukosea, hata idadi ya wachezaji wa Yanga bila kukosea.. Ila wakati huu kama unaanzisha mashindano ya kucheua ni wakati mzuri kwani bia ya pili huongeza hisia za kucheua.
Bia ya tatu πΊπΊπΊ huanza kumfanya mnywaji aanze kusikia furaha na pia huu huwa wakati ambapo karanga na korosho huliwa sanaβ¦. Pamoja na mazungumzo kuhusu mpira na siasa, ghafla mazungumzo kuhusu michepuko huanza kujitokezaβ¦..
Bia ya nne πΊπΊπΊπΊ huanza kusababisha masikio yaanze kupoteza nguvu za kusikia kwani utaona mnywaji ghafla amepandisha sauti, na ukijumlisha na kuwa baa zetu huwa na muziki una kelele utadhani waliopo wote wana matatizo ya kusikiaβ¦.. bia hii humsaidia kuongea kwa nguvu kushindana na kelele za muziki.
Bia ya tano πΊπΊπΊπΊπΊ ni hatari kidogo kwani ukiinuka kwenda chooni mara nyingi unarudi hujafunga zipuβ¦β¦na kipindi hiki ni kibaya kwa wanywaji wa kike maana unaweza kumkuta akienda chooni akijiangalia kwenye kioo anaanza kulia peke yake na kulalamika; βMi sipendwi mpaka leo sijaolewaβ au β Mume wangu sijui yukoje hanijaliβ
Japokuwa lazima isemwe ukweli ukifikisha bia hii, maisha ni raha sana unaweza ukaanzisha shoo ya kukata mauno katikati ya baa na kudai wewe ni mkali kuliko Shilole.
Kuanzia bia ya sita πΊπΊπΊπΊπΊπΊ na kuendelea, chochote utakachosema au kufanya ni wazi kesho yake asubuhi utajilaumu sana. β¦β¦. β¦Kuna watu husema ukilewa ndipo unakuwa mkweli, hivyo basi wakati huu hata bosi wako akitokeza unamueleza ukweli jinsi alivyo fala na hajui kuendesha kampuni.
Au unasema ukweli jinsi unavyompenda mke wa jirani yako ambaye mmekaa mnakunywa naye. Kimsingi uwezekano wa kutapika pia upo karibu na kama umekaa na mchumba wako huu ni muda ambao pia uchumba unaweza kuvunjikaβ¦β¦.
Rahim (Guest) on December 6, 2019
π Kali sana!
Sarah Achieng (Guest) on October 30, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
George Tenga (Guest) on October 18, 2019
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
George Tenga (Guest) on September 19, 2019
ππ π
Susan Wangari (Guest) on September 19, 2019
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Nancy Akumu (Guest) on September 16, 2019
Hii imenibamba sana! π π€£
Agnes Njeri (Guest) on September 15, 2019
ππ€£π₯
David Sokoine (Guest) on September 5, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Nora Lowassa (Guest) on August 28, 2019
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Anna Kibwana (Guest) on August 19, 2019
π Nilihitaji kicheko hicho!
James Mduma (Guest) on June 13, 2019
π€£π₯π
Francis Njeru (Guest) on May 28, 2019
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Juma (Guest) on May 16, 2019
π Bado nacheka!
Jacob Kiplangat (Guest) on May 4, 2019
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Anthony Kariuki (Guest) on April 25, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on April 20, 2019
ππ
Joseph Kawawa (Guest) on March 28, 2019
Nimefurahia sana hii joke! π π
George Mallya (Guest) on March 24, 2019
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Raphael Okoth (Guest) on March 12, 2019
π€£π€£ππ
Alice Wanjiru (Guest) on March 5, 2019
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
Sharon Kibiru (Guest) on January 18, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Rose Amukowa (Guest) on January 10, 2019
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Diana Mumbua (Guest) on January 7, 2019
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
James Mduma (Guest) on January 4, 2019
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Anna Mahiga (Guest) on December 20, 2018
πππ π
Alice Mwikali (Guest) on December 16, 2018
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Agnes Sumaye (Guest) on December 12, 2018
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Charles Mboje (Guest) on November 18, 2018
π ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on November 13, 2018
ππ
Victor Kamau (Guest) on August 10, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Patrick Mutua (Guest) on August 7, 2018
ππ€£ππ
James Malima (Guest) on July 31, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Charles Mrope (Guest) on July 30, 2018
Hii ni ya maana sana! ππ
Brian Karanja (Guest) on July 29, 2018
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Bernard Oduor (Guest) on July 19, 2018
ππ€£
Mercy Atieno (Guest) on July 16, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Charles Mrope (Guest) on July 14, 2018
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Mazrui (Guest) on July 6, 2018
π€£ Sikutarajia hiyo!
Kenneth Murithi (Guest) on June 9, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Irene Akoth (Guest) on May 16, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Rahma (Guest) on May 11, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Lydia Mahiga (Guest) on April 24, 2018
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Catherine Naliaka (Guest) on April 18, 2018
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Shabani (Guest) on April 6, 2018
π Nacheka hadi chini!
George Ndungu (Guest) on March 28, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Anthony Kariuki (Guest) on March 21, 2018
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Catherine Mkumbo (Guest) on February 24, 2018
π€£π€£π
Elizabeth Mtei (Guest) on February 8, 2018
π€£πππ
David Sokoine (Guest) on January 1, 2018
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
John Mushi (Guest) on November 19, 2017
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Jamal (Guest) on October 28, 2017
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Anna Sumari (Guest) on October 7, 2017
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Peter Mbise (Guest) on September 12, 2017
πππ
Saidi (Guest) on September 6, 2017
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Faiza (Guest) on August 17, 2017
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Patrick Kidata (Guest) on August 16, 2017
Hii imenikuna! ππ
Peter Mbise (Guest) on August 9, 2017
ππ€£ππ
Stephen Amollo (Guest) on July 15, 2017
π Hii imenigonga kweli!
Mashaka (Guest) on July 10, 2017
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Shabani (Guest) on June 22, 2017
π Bado nacheka!