Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโฆ
Mara blenda priiiiiโฆ juiceโฆ ama milk shakeโฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeโฆAnza kukuna naziโฆ
Chambua mnafuโฆ
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโฆ hahahaha kwenye frijiโฆ wala hatumi..
Hahaahhaโฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuโฆ
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiโฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโฆHahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโฆ
Hahahahahahaโฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโฆ aogeโฆ
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโฆ
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniโฆ
Hahahahahaโฆ yani kwa raha ya supuโฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโฆ
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโฆ. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโฆ
Wali maharage kama jeshi la j
Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019
Hii ni joke ya kipekee sana! ๐๐
Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019
๐ ๐๐
Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! ๐
Zakaria (Guest) on July 18, 2019
Hii kichekesho imenifurahisha sanaโimebamba! ๐คฃ
Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019
Nimeipenda hii joke! ๐๐
Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019
Hii imenikuna sana! ๐๐
Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019
๐๐คฃ๐๐
Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019
๐๐
Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019
Hii imenifurahisha sana! ๐๐
Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019
Hii ni ya kufurahisha! ๐๐
Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019
Hii imenibamba sana! ๐ ๐คฃ
Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019
๐ Siwezi kuacha kucheka!
Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019
๐ Kali sana!
Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐๐คฃ
Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐คฃ๐
George Tenga (Guest) on January 8, 2019
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐๐คฃ
Khadija (Guest) on December 30, 2018
๐ Bado nacheka, siwezi kuacha!
Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! โ๐
Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐๐
Wande (Guest) on November 27, 2018
๐คฃ Kichekesho bora kabisa!
Ali (Guest) on November 16, 2018
๐ Ninakufa hapa!
Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018
๐คฃ Ninashiriki hii sasa hivi!
Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018
๐ Lazima nihifadhi hii!
Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018
๐๐๐ ๐
Maulid (Guest) on October 14, 2018
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐คฃ
Hekima (Guest) on September 23, 2018
Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐
Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ฏ
Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐๐
John Lissu (Guest) on August 28, 2018
๐๐คฃ๐๐
Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018
๐๐คฃ๐ฅ
Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018
๐ Bado nacheka!
Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018
๐ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!
Halimah (Guest) on June 2, 2018
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! ๐
Chris Okello (Guest) on June 1, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐๐คฃ
George Wanjala (Guest) on May 31, 2018
Hii ni joke ya kipekee sana! ๐๐
George Ndungu (Guest) on May 6, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐คฃ๐
Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018
Hii ni bomba sana! ๐คฃ๐
Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐
Muslima (Guest) on April 27, 2018
๐ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐๐
Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018
๐คฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018
Hii imenipa furaha ya siku! ๐๐
Sarafina (Guest) on March 13, 2018
๐ Dhahabu ya vichekesho!
Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018
๐ ๐๐๐
Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018
Sikutarajia hiyo punchlineโkichekesho! ๐คฃ
Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐คฃ
Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018
๐๐คฃ๐๐
Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018
Hii joke ni ya kufurahisha! ๐คฃ๐คฃ
Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018
Nimecheka hadi machozi ๐คฃ๐ญ
Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018
Ucheshi wa hali ya juu! ๐๐
Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ๐๐
David Musyoka (Guest) on January 1, 2018
๐ Sikutarajia hiyo ikitokea!
Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! ๐
Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017
๐คฃ Ninaituma sasa hivi!
Mariam (Guest) on December 9, 2017
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ
Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017
Umesema kweli! ๐๐
Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017
๐คฃ๐คฃ๐๐
Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐๐คฃ
Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐๐