Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue.
Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika.
Ilikua ni bahati tu alimvizia na
kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua
anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit, boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali.
Siku hiyo Bakari alikua jikoni, boss na mkewe walikua sebuleni.
Boss: Bakariiii!
Bakari: Naam baba!
Boss: nani anakunywa wine yangu?
Bakari kimyaaaa hajibu kitu!
Boss: Bakariiiii !
Bakari: naam baba!
Boss: nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari kimyaaaaa!
Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.
Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss kimyaaaa!
Bakari: Baba babaa!
Boss:ndio Bakari!
Bakari: Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss kimyaaaaaaa!
Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!
Mke wa Boss akaingilia kati
Mama: nyie msinitanie kabisa mnasemaje?
Bakari: kweli mama ukiwa jikoni husikii kitu nenda uone
Mama akaenda na Bakari akaanza
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeee!
Bakari: hebu niambie hiyo mimba ni ya baba au yangu?
Mama kimya
Bakari: mamaaaa!
Mama: abeeee!
Bakari: hebu niambie ukweli hiyo mimba ni ya baba au yangu??
Mama kimya
Mama akatoka nje: kweli humu jikoni kuna tatizo nilikuwa nasikia jina tu
Grace Wairimu (Guest) on May 23, 2017
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Rose Amukowa (Guest) on May 18, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Elijah Mutua (Guest) on May 15, 2017
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Victor Malima (Guest) on April 20, 2017
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Alex Nyamweya (Guest) on April 10, 2017
π Bado nacheka!
James Kimani (Guest) on April 9, 2017
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Arifa (Guest) on April 7, 2017
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Yusuf (Guest) on March 2, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
David Musyoka (Guest) on February 22, 2017
π€£πππ
Omar (Guest) on February 10, 2017
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Anna Sumari (Guest) on February 2, 2017
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Diana Mallya (Guest) on January 24, 2017
Hii imenibamba sana! π π€£
Edith Cherotich (Guest) on January 11, 2017
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Nora Lowassa (Guest) on December 21, 2016
π Umeshinda mtandao leo!
Azima (Guest) on December 16, 2016
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Edith Cherotich (Guest) on November 21, 2016
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
Faith Kariuki (Guest) on October 15, 2016
Umetisha! ππ
Ann Awino (Guest) on October 12, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Janet Mwikali (Guest) on October 9, 2016
Hii imenifurahisha sana! ππ
Joy Wacera (Guest) on September 15, 2016
π Nimeipenda kabisa hii!
Abdillah (Guest) on June 21, 2016
π Nacheka hadi chini!
Samuel Were (Guest) on June 6, 2016
π πππ
Agnes Lowassa (Guest) on June 5, 2016
π πππ
David Chacha (Guest) on May 5, 2016
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Sarah Achieng (Guest) on April 6, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Diana Mallya (Guest) on April 2, 2016
ππ
Peter Mugendi (Guest) on March 27, 2016
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Lucy Mahiga (Guest) on March 13, 2016
Huyu alikuwa na point! ππ
Susan Wangari (Guest) on February 10, 2016
πππ
Joyce Nkya (Guest) on February 2, 2016
Hii imenibamba sana! ππ
Robert Ndunguru (Guest) on January 4, 2016
π Bado ninacheka!
Patrick Kidata (Guest) on December 8, 2015
ππ ππ
Lydia Wanyama (Guest) on November 28, 2015
π Ninakufa hapa!
Hellen Nduta (Guest) on November 28, 2015
π€£π€£ππ
Majid (Guest) on November 1, 2015
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Christopher Oloo (Guest) on October 28, 2015
Umesema kweli! ππ
Francis Mtangi (Guest) on October 25, 2015
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Nora Lowassa (Guest) on October 6, 2015
ππ
Rose Waithera (Guest) on October 5, 2015
π Naihifadhi hii!
Agnes Sumaye (Guest) on September 27, 2015
Hii imenikuna sana! ππ
Charles Mboje (Guest) on September 24, 2015
Nimefurahia sana hii! π π
Nancy Komba (Guest) on September 24, 2015
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Ann Awino (Guest) on September 20, 2015
π Hii ni dhahabu!
Furaha (Guest) on September 12, 2015
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
James Malima (Guest) on August 25, 2015
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Catherine Naliaka (Guest) on August 8, 2015
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Joseph Kawawa (Guest) on August 3, 2015
Nimeipenda hii joke! ππ
Joseph Kitine (Guest) on July 22, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on July 12, 2015
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Wilson Ombati (Guest) on July 11, 2015
Hii imenichekesha sana! ππ
Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Henry Mollel (Guest) on June 11, 2015
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Mwakisu (Guest) on May 31, 2015
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
John Lissu (Guest) on April 29, 2015
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Rukia (Guest) on April 17, 2015
π Imeongezwa kwenye vipendwa!