Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.

Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.

Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=

Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.

Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.

Meneja akaja kuwasikiliza

Babu:Β " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"

Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "

Babu;Β "Lakini hatukuyatumia"

Manager;Β "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"

Babu:Β "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"

meneja:Β "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"

Babu:Β "Lakini sisi hatukuwasikiliza"

Meneja:Β "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"

Babu;Β aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,

Bibi akaandika akampa meneja.

Meneja anaangalia anaona sh. 50,000

Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"

Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"

Meneja akajibu; "Lakini sijalala"

Bibi :"ungeweza kama ungetaka"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on July 18, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Minja (Guest) on July 7, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zakia (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Raha (Guest) on June 17, 2024

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on May 18, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on May 18, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Frank Sokoine (Guest) on April 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James (Guest) on April 19, 2024

Joke

James (Guest) on April 19, 2024

Funny

Joseph Kiwanga (Guest) on March 19, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 17, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on March 16, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 15, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Ochieng (Guest) on February 29, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on February 23, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on February 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Robert Ndunguru (Guest) on December 31, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on December 24, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Rabia (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Jane Malecela (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Peter Tibaijuka (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Wanjiru (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Nassar (Guest) on August 24, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nekesa (Guest) on August 23, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Elizabeth Malima (Guest) on August 8, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on July 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Rehema (Guest) on July 24, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Patrick Kidata (Guest) on July 17, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Shukuru (Guest) on June 20, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Charles Mchome (Guest) on April 8, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Lissu (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 27, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Khatib (Guest) on February 24, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Faith Kariuki (Guest) on February 17, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kawawa (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Lissu (Guest) on January 10, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on December 10, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on November 11, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rahma (Guest) on October 4, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Francis Njeru (Guest) on October 2, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on September 15, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on September 7, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on August 22, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Mboje (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on July 4, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on June 28, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on June 17, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Kitine (Guest) on June 13, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 2, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Frank Sokoine (Guest) on May 14, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on May 7, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jafari (Guest) on May 5, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on April 21, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Paul Kamau (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on March 23, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About