Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jamila (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Mushi (Guest) on October 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jackson Makori (Guest) on September 18, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on September 5, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on June 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Paul Kamau (Guest) on June 14, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on June 1, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Rose Mwinuka (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mwalimu (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Mallya (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on April 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on March 29, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Habiba (Guest) on March 26, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Wairimu (Guest) on March 13, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Tabu (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Joseph Njoroge (Guest) on February 7, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Grace Njuguna (Guest) on February 7, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rahma (Guest) on January 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Umi (Guest) on January 20, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on January 13, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Francis Mrope (Guest) on January 3, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 25, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 20, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yahya (Guest) on December 13, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joyce Aoko (Guest) on November 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Habiba (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Leila (Guest) on September 30, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ruth Mtangi (Guest) on September 20, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on September 9, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 1, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on June 9, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on April 7, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Tabitha Okumu (Guest) on February 28, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on February 21, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on February 11, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Irene Akoth (Guest) on December 6, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Charles Mboje (Guest) on December 2, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Amir (Guest) on November 28, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Biashara (Guest) on November 4, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

John Malisa (Guest) on October 15, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on October 12, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nuru (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Stephen Malecela (Guest) on September 3, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on September 1, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Hellen Nduta (Guest) on July 27, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Farida (Guest) on April 16, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Sumaye (Guest) on April 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles