Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.
Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini
Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia
Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata
Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi
Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?
Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?
Nassar (Guest) on May 3, 2017
Kama kawaida! Bado nacheka! π
Rose Amukowa (Guest) on May 1, 2017
π Nacheka hadi chini!
Agnes Lowassa (Guest) on April 28, 2017
ππ€£ππ
David Musyoka (Guest) on April 28, 2017
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Michael Onyango (Guest) on April 5, 2017
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Thomas Mwakalindile (Guest) on April 1, 2017
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Elizabeth Mrema (Guest) on March 16, 2017
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Tabitha Okumu (Guest) on March 3, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Anna Mchome (Guest) on March 1, 2017
ππ€£
Faiza (Guest) on February 4, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Hellen Nduta (Guest) on February 1, 2017
π Umeimaliza kabisa!
Andrew Mchome (Guest) on January 27, 2017
πππ€£
Simon Kiprono (Guest) on December 4, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Alex Nakitare (Guest) on November 10, 2016
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Mary Mrope (Guest) on October 31, 2016
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Martin Otieno (Guest) on October 29, 2016
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Martin Otieno (Guest) on September 15, 2016
π€£ππ
Nora Kidata (Guest) on September 2, 2016
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2016
π€£π₯π
Michael Mboya (Guest) on August 15, 2016
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Joseph Kiwanga (Guest) on August 10, 2016
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Susan Wangari (Guest) on July 24, 2016
πππ π€£
Tabitha Okumu (Guest) on July 7, 2016
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Mwajabu (Guest) on July 1, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Stephen Malecela (Guest) on June 14, 2016
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Lydia Wanyama (Guest) on June 12, 2016
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Lucy Mushi (Guest) on May 31, 2016
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Mwanaisha (Guest) on May 28, 2016
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Mwagonda (Guest) on May 26, 2016
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Lucy Mahiga (Guest) on May 20, 2016
Hii ni dhahabu ya vichekesho! π
Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Peter Otieno (Guest) on May 16, 2016
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Salima (Guest) on May 11, 2016
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Halimah (Guest) on March 7, 2016
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Chris Okello (Guest) on February 20, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Robert Okello (Guest) on February 12, 2016
ππππ
Samson Tibaijuka (Guest) on January 9, 2016
π ππ
Alice Wanjiru (Guest) on December 31, 2015
ππ
Monica Nyalandu (Guest) on December 14, 2015
Hii imenifurahisha sana! ππ
Francis Njeru (Guest) on November 15, 2015
π Dhahabu ya vichekesho!
Lydia Mutheu (Guest) on November 11, 2015
Hii imenibamba sana! π π€£
Victor Malima (Guest) on November 6, 2015
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Nassor (Guest) on November 6, 2015
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2015
Kweli mnajua kuchekesha watu! π€£π
Lucy Mushi (Guest) on September 30, 2015
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Agnes Njeri (Guest) on September 29, 2015
ππ€£ππ
Andrew Mchome (Guest) on September 28, 2015
π€£ Sikutarajia hiyo!
Charles Mrope (Guest) on September 14, 2015
ππ€£ππ
Ann Wambui (Guest) on July 16, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Salum (Guest) on July 12, 2015
π Kicheko bora ya siku!
Mwajuma (Guest) on July 5, 2015
π Umeshinda mtandao leo!
James Kimani (Guest) on May 4, 2015
ππ π
Joseph Kiwanga (Guest) on May 2, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Carol Nyakio (Guest) on April 29, 2015
Hii imenikuna! ππ
Masika (Guest) on April 12, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Lydia Mahiga (Guest) on April 4, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ