Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoidoβ¦..leo nimetoka Likizo Moshi,
"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!
Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!β¦kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?β¦kwa Style ipi?
Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!β¦sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,β¦hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,β¦.hapa sasa nikapata wazo!
"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''
"Mia mbili tu Kaka!"
''Ok"
Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,
"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)
"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''
Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!β¦Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!β¦My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!
"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"
Kimyaβ¦
"Dogo huu Mzani vipi?"
Kimyaβ¦
Dogo ana dharau huyu!β¦Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!β¦.ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!β¦Dogo hakuwepo!β¦.na Mabegi pia hayapo!β¦lap top haipo!β¦.NIMEPIGWA!
Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!β¦.sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!β¦yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!β¦niitieni Ambulance!
ππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌππΌ
Frank Sokoine (Guest) on June 21, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Anna Malela (Guest) on June 4, 2017
Nimecheka hadi machozi π€£π
Joyce Nkya (Guest) on May 25, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Mwanaisha (Guest) on April 30, 2017
π Hakika hii ni kichekesho changu kipya!
Agnes Njeri (Guest) on April 12, 2017
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Emily Chepngeno (Guest) on March 10, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
David Musyoka (Guest) on March 1, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Aziza (Guest) on February 15, 2017
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
George Tenga (Guest) on February 13, 2017
π€£ Sikutarajia hiyo!
Wande (Guest) on February 8, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
David Musyoka (Guest) on January 25, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Anna Kibwana (Guest) on January 20, 2017
ππ€£ππ
Kijakazi (Guest) on January 19, 2017
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2016
ππ
Khalifa (Guest) on November 2, 2016
π Siwezi kuacha kucheka!
Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
George Tenga (Guest) on August 25, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Grace Mligo (Guest) on August 8, 2016
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Betty Cheruiyot (Guest) on July 25, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Samson Mahiga (Guest) on July 19, 2016
ππ€£
Mariam Kawawa (Guest) on July 17, 2016
πππ€£
James Malima (Guest) on July 6, 2016
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Samuel Omondi (Guest) on June 22, 2016
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Samson Mahiga (Guest) on June 17, 2016
ππ€£π
Anthony Kariuki (Guest) on June 16, 2016
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elijah Mutua (Guest) on June 15, 2016
π Bado nacheka!
Samson Tibaijuka (Guest) on May 17, 2016
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2016
π Bado nacheka!
Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2016
Nimefurahia sana hii joke! π π
Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2016
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on February 5, 2016
ππ€£ππ
Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2016
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Henry Sokoine (Guest) on January 26, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
David Nyerere (Guest) on January 21, 2016
π€£π€£π
Biashara (Guest) on January 9, 2016
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Rubea (Guest) on January 8, 2016
π Dhahabu ya vichekesho!
Kahina (Guest) on December 13, 2015
π Naihifadhi hii!
Nancy Akumu (Guest) on November 11, 2015
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Patrick Akech (Guest) on November 5, 2015
π Nimeipenda kabisa hii!
David Kawawa (Guest) on October 26, 2015
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
John Lissu (Guest) on October 19, 2015
π€£πππ
Joyce Aoko (Guest) on September 29, 2015
π€£π€£ππ
Janet Sumaye (Guest) on September 23, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2015
ππ€£π₯
Violet Mumo (Guest) on September 17, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Maneno (Guest) on September 7, 2015
π Nitaiiba hii bila shaka!
Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2015
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Joyce Nkya (Guest) on August 27, 2015
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
John Lissu (Guest) on August 20, 2015
Hii imenichekesha sana! π€£π
Tambwe (Guest) on July 29, 2015
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Salum (Guest) on July 21, 2015
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Alice Jebet (Guest) on June 2, 2015
π Naihifadhi hii!
Linda Karimi (Guest) on May 31, 2015
ππ
Lucy Kimotho (Guest) on May 14, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Tabu (Guest) on April 6, 2015
π Hii ni hazina ya kichekesho!