Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Aziza (Guest) on February 22, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 31, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nyota (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Related Posts

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact