Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia mama mkwe anasema kuna mjinga kajisaidia kwenye mboga na kaangusha pochi yake hapohapo haa! Vile unajisachi pochi hamna na kulikuwa na passport,vitambulisho, kadi ya benki, pesa zaidi ya laki 2 na nusu, funguo za nyumba yako, `
πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’πŸ€’

Walahi haya ndo matatizoπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Philip Nyaga (Guest) on September 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on September 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Shabani (Guest) on August 7, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on August 6, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on July 20, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 16, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Hekima (Guest) on July 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline!

Mary Sokoine (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Lissu (Guest) on June 30, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on June 25, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on June 11, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Maulid (Guest) on May 24, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Chum (Guest) on May 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on April 30, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 8, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on April 2, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Catherine Naliaka (Guest) on April 2, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

James Malima (Guest) on February 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on January 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on January 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on December 1, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Nkya (Guest) on November 5, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Francis Mrope (Guest) on October 17, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Anna Sumari (Guest) on October 14, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Nancy Komba (Guest) on August 29, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwachumu (Guest) on June 21, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on June 14, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on June 11, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on May 10, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on May 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on April 24, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Grace Mushi (Guest) on March 14, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mohamed (Guest) on March 7, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Jamila (Guest) on January 19, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on January 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarafina (Guest) on January 9, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Maneno (Guest) on January 7, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Charles Mrope (Guest) on December 23, 2015

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Chum (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Abubakar (Guest) on November 19, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Abubakari (Guest) on November 16, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on November 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nora Kidata (Guest) on October 10, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on October 7, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on September 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on September 15, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

George Wanjala (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mwambui (Guest) on August 19, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 9, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Mallya (Guest) on May 7, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on April 14, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Related Posts

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About