Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Featured Image

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.





Walipofika njiani wakawa wamechoka Sanaa. Wakaamua kutafuta hotel ili walale.





Wakakubaliana walale kwa masaa 4. Wakalala, Walipoamka, mfanyakazi wa Hotel akawatoza Tsh. 500,000/=





Wale wazee wakashangaa hata kama ni hotel ya kisasa lakini sio laki tano kwa masaa 4.





Babu akagoma kulipa akasema aitiwe meneja.





Meneja akaja kuwasikiliza





Babu: " Kwanini bili ni kubwa hata kama ni hotel ya kisasa?"





Manager;"kuna maswiming puli, ya kisasa "





Babu; "Lakini hatukuyatumia"





Manager; "Ah ah ah. Lakini mungeweza kama mngetaka"





Babu: "Hata hivo bado haithamini kuwa laki 5"





meneja: "Pia Kuna waimbaji kutoka sauzi, Uganda , Congo"





Babu: "Lakini sisi hatukuwasikiliza"





Meneja: "Ndiooo. Lakini mngeweza kama mngetaka"





Babu; aka give up na kumwambia mkewe andika cheki uwape,,





Bibi akaandika akampa meneja.





Meneja anaangalia anaona sh. 50,000





Akashangaa na kusema. "VP mbona hamsini'"





Bibi akajibu "450,000 ya kulala na mimi"





Meneja akajibu; "Lakini sijalala"





Bibi :"ungeweza kama ungetaka"


AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Yusuf (Guest) on May 1, 2017

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Lucy Kimotho (Guest) on April 27, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Mariam Hassan (Guest) on April 14, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Alice Jebet (Guest) on April 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! 😂🤣

Shani (Guest) on February 28, 2017

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Umi (Guest) on February 19, 2017

😄 Umeshinda mtandao leo!

Linda Karimi (Guest) on February 17, 2017

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 26, 2017

🤣🤣😂

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Alice Mwikali (Guest) on January 8, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😊😂

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Baraka (Guest) on January 1, 2017

😄 Umeimaliza kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on November 17, 2016

🤣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 30, 2016

😆 Nacheka hadi chini!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 9, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! 😅😂

John Malisa (Guest) on September 27, 2016

😂 Kali sana!

Josephine Nduta (Guest) on September 19, 2016

😆😅😂

Amir (Guest) on September 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! 😆

Thomas Mtaki (Guest) on September 5, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! 😂ðŸ‘

John Kamande (Guest) on August 20, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 😂🤣

Jacob Kiplangat (Guest) on July 2, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Mchuma (Guest) on June 20, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! 😂

David Ochieng (Guest) on June 9, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! 😂

Mary Kidata (Guest) on June 4, 2016

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Mchuma (Guest) on June 4, 2016

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Lucy Wangui (Guest) on May 5, 2016

😄 Dhahabu ya vichekesho!

Peter Mwambui (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! 😆😊

Patrick Akech (Guest) on April 1, 2016

😂🤣

Nchi (Guest) on March 29, 2016

😠Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Maneno (Guest) on March 14, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! 😆

Lydia Wanyama (Guest) on February 25, 2016

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 23, 2016

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Joyce Nkya (Guest) on February 21, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! 😂ðŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on February 4, 2016

ðŸ‘🤣😆😂

Sarah Karani (Guest) on February 4, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Chris Okello (Guest) on February 3, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Mhina (Guest) on January 15, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Catherine Mkumbo (Guest) on January 5, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Mariam Kawawa (Guest) on November 14, 2015

😂👌😆😊

Raphael Okoth (Guest) on September 30, 2015

😆 Kali sana!

Benjamin Masanja (Guest) on September 27, 2015

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Grace Njuguna (Guest) on September 25, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Catherine Naliaka (Guest) on September 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

Mchuma (Guest) on August 20, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Francis Njeru (Guest) on August 16, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Mjaka (Guest) on August 13, 2015

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Rose Amukowa (Guest) on July 27, 2015

Hii imenibamba sana! 😂😅

Lucy Kimotho (Guest) on June 28, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆ðŸ‘

Kijakazi (Guest) on June 21, 2015

😄 Kali sana!

Tabitha Okumu (Guest) on June 17, 2015

Hii imenifurahisha sana! 😂😂

Dorothy Nkya (Guest) on June 7, 2015

😂😂🤣

Richard Mulwa (Guest) on May 29, 2015

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂ðŸ‘

David Nyerere (Guest) on May 6, 2015

😄😅ðŸ‘😂

Mary Kidata (Guest) on April 29, 2015

😄 Kichekesho kamili!

Catherine Naliaka (Guest) on April 20, 2015

Nimeipenda hii joke! 😄😂

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki ðŸ¦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki ðŸ¦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?â... Read More
Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_922a4c009fda0eecb6e6946816ece86c, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📠Register 📞 Contact