Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka, "Toka hapa, we ni nani mpaka unakuja kitandani mwangu?"

Yule mtu akajibu, "Mi ni malaika na hapa sio kitandani mwako uko mbinguni!"

Jamaa, "Huh! Inamaana nimekufa,mbona mi bado kijana… naomba nirudishwe!"

Malaika, "Inawezekana lakini siwezi kukurudisha kama mtu labda urudi kama mbwa ama kuku."

Jamaa akakumbuka mbwa wanavyopata taabu ya kulinda, akaonelea arudi kama kuku.

Malaika akamgeuza kuku, akamwambia ajifunze kutaga kabla hajapelekwa duniani.

Akachuchumaa na kuanza kujikamua; yai la kwanza likatoka. akajikamua tena, yai la pili likatoka. Akajikamua tena mara ya tatu.

Wakati yai la tatu linatoka… akashtukia amepigwa konde ikifuatwa na sauti ya hasira ya mkewe, "Pumbav*! Balaa gani hii…. unakuny* kitandani!!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kawawa (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on June 14, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nyota (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Michael Mboya (Guest) on June 5, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Vincent Mwangangi (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on May 1, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2017

Asante Ackyshine

Charles Mrope (Guest) on April 15, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 3, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on March 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Masika (Guest) on February 28, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joy Wacera (Guest) on February 21, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on February 14, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Maida (Guest) on January 9, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Rabia (Guest) on December 8, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Mwanakhamis (Guest) on December 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Okello (Guest) on November 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lydia Wanyama (Guest) on November 18, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on October 19, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mgeni (Guest) on September 25, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 14, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zuhura (Guest) on September 10, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Monica Lissu (Guest) on September 2, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Sharon Kibiru (Guest) on June 26, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Shukuru (Guest) on May 24, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on May 3, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 11, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Grace Mligo (Guest) on March 4, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nassar (Guest) on February 12, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Peter Mbise (Guest) on February 6, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on January 16, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on December 28, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Arifa (Guest) on December 28, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Nkya (Guest) on December 5, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Lissu (Guest) on October 7, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mohamed (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lydia Wanyama (Guest) on August 30, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Wilson Ombati (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2015

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on June 25, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on May 25, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mushi (Guest) on May 12, 2015

😊🀣πŸ”₯

Tambwe (Guest) on April 12, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Faith Kariuki (Guest) on April 1, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About