Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.
Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, Noβ¦.. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.
Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendeleaβ¦..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanzaβ¦
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last monthβ¦
Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea⦠Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.
Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.
Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.
Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopitaβ¦!!!
Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje�??
Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2017
π Nacheka hadi nalia!
Chum (Guest) on November 4, 2017
π Naihifadhi hii!
Irene Makena (Guest) on October 22, 2017
π€£π₯π
Martin Otieno (Guest) on October 14, 2017
ππ€£ππ
Daniel Obura (Guest) on September 13, 2017
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Rubea (Guest) on September 4, 2017
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Charles Mchome (Guest) on August 9, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Ahmed (Guest) on May 26, 2017
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Ruth Kibona (Guest) on April 21, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Makame (Guest) on April 18, 2017
π Kichekesho gani!
Susan Wangari (Guest) on April 4, 2017
π Nimeipenda kabisa hii!
Chiku (Guest) on March 20, 2017
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2017
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
David Musyoka (Guest) on March 11, 2017
Hii imenifurahisha sana! ππ
Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2017
Nimefurahia hii sana! ππ
Ruth Kibona (Guest) on February 7, 2017
π€£π€£ππ
Francis Njeru (Guest) on February 3, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Margaret Anyango (Guest) on January 11, 2017
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Thomas Mtaki (Guest) on December 19, 2016
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Richard Mulwa (Guest) on December 6, 2016
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Thomas Mwakalindile (Guest) on November 30, 2016
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2016
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Peter Tibaijuka (Guest) on November 7, 2016
πππ π€£
Nashon (Guest) on November 4, 2016
π Hii imenigonga kweli!
George Mallya (Guest) on October 24, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2016
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2016
π Bado nacheka!
Alice Wanjiru (Guest) on July 27, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Samuel Were (Guest) on July 18, 2016
π Umeshinda mtandao leo!
James Malima (Guest) on June 29, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Tabitha Okumu (Guest) on June 9, 2016
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Michael Onyango (Guest) on June 5, 2016
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2016
Nimefurahia sana hii joke! π π
Nora Lowassa (Guest) on March 24, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Janet Mwikali (Guest) on March 1, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Mwanakhamis (Guest) on February 23, 2016
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Moses Kipkemboi (Guest) on February 7, 2016
ππ€£
Maulid (Guest) on January 12, 2016
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
Zainab (Guest) on December 20, 2015
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Diana Mumbua (Guest) on November 25, 2015
ππ ππ
Nasra (Guest) on August 18, 2015
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Rose Amukowa (Guest) on August 15, 2015
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Anna Mchome (Guest) on July 24, 2015
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015
ππ€£ππ
Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Nuru (Guest) on June 12, 2015
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Salma (Guest) on May 28, 2015
π Lazima nihifadhi hii!
Faith Kariuki (Guest) on May 25, 2015
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Tabitha Okumu (Guest) on May 16, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2015
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015
π Hii ni kali sana!
Mwafirika (Guest) on April 19, 2015
π Nitaiiba hii bila shaka!
Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π