Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.

Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.

Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…

Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.

Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.

Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.

Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!

Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Wanyama (Guest) on November 9, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Chum (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2017

🀣πŸ”₯😊

Martin Otieno (Guest) on October 14, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on September 13, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on September 4, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Charles Mchome (Guest) on August 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mchome (Guest) on June 2, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on May 26, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ruth Kibona (Guest) on April 21, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Makame (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on April 4, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Chiku (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on March 1, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on February 7, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on February 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 11, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on December 19, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Richard Mulwa (Guest) on December 6, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on November 30, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Odhiambo (Guest) on November 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Peter Tibaijuka (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nashon (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Mallya (Guest) on October 24, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Kidata (Guest) on September 6, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on August 20, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Alice Wanjiru (Guest) on July 27, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samuel Were (Guest) on July 18, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on June 29, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on June 9, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Onyango (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on May 8, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 24, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Janet Mwikali (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanakhamis (Guest) on February 23, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on February 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on January 12, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Zainab (Guest) on December 20, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Nasra (Guest) on August 18, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on August 15, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Anna Mchome (Guest) on July 24, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on July 3, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Nuru (Guest) on June 12, 2015

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Salma (Guest) on May 28, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Faith Kariuki (Guest) on May 25, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on May 16, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on April 24, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwafirika (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Edward Chepkoech (Guest) on April 3, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles