
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_64deeb4bcdaa7d2bf944c2bab507f7f0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Zainab (Guest) on August 26, 2017
π Umeimaliza kabisa!
Joy Wacera (Guest) on August 10, 2017
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
George Tenga (Guest) on August 3, 2017
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Charles Wafula (Guest) on August 1, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2017
Mna talent ya jokes! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on July 2, 2017
π ππ
Michael Onyango (Guest) on June 18, 2017
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Grace Majaliwa (Guest) on June 5, 2017
π πππ
John Kamande (Guest) on May 28, 2017
Umetisha! ππ
Alex Nyamweya (Guest) on May 25, 2017
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Nancy Akumu (Guest) on May 18, 2017
π Ninakufa hapa!
Charles Mrope (Guest) on April 16, 2017
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Rose Mwinuka (Guest) on April 5, 2017
π Siwezi kuacha kucheka!
Charles Mchome (Guest) on March 4, 2017
Hii imenikuna! ππ
Mary Mrope (Guest) on March 1, 2017
π Dhahabu ya vichekesho!
Mwanakhamis (Guest) on February 25, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Nancy Kabura (Guest) on February 17, 2017
π Nacheka hadi nalia!
Asha (Guest) on February 1, 2017
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Margaret Mahiga (Guest) on January 25, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Victor Sokoine (Guest) on December 24, 2016
π€£ Sikutarajia hiyo!
Betty Kimaro (Guest) on December 4, 2016
Kila siku napenda jokes zenu! ππ
Nora Lowassa (Guest) on December 1, 2016
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Catherine Naliaka (Guest) on November 28, 2016
ππ€£π₯
Rose Kiwanga (Guest) on November 24, 2016
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Grace Majaliwa (Guest) on November 4, 2016
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Richard Mulwa (Guest) on October 23, 2016
π Nilihitaji kicheko hicho!
Elizabeth Mrope (Guest) on September 16, 2016
ππ π
Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2016
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Grace Mligo (Guest) on September 6, 2016
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Alice Jebet (Guest) on September 1, 2016
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Mwanakhamis (Guest) on July 29, 2016
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Ann Awino (Guest) on July 26, 2016
Hii imenibamba sana! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2016
π€£π€£ππ
Elizabeth Mtei (Guest) on May 17, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Issa (Guest) on May 8, 2016
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Elizabeth Mrope (Guest) on May 2, 2016
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
John Kamande (Guest) on April 25, 2016
π Ninashiriki mara moja!
Thomas Mwakalindile (Guest) on April 2, 2016
Huyu alikuwa na point! ππ
Catherine Naliaka (Guest) on March 22, 2016
Nimecheka hadi machozi π€£π
David Nyerere (Guest) on March 18, 2016
π Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!
Khadija (Guest) on March 4, 2016
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Elizabeth Malima (Guest) on February 22, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Frank Sokoine (Guest) on February 6, 2016
π Kicheko bora ya siku!
Sarah Mbise (Guest) on January 31, 2016
Hii imenifurahisha sana! ππ
Fadhili (Guest) on January 1, 2016
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π
Grace Njuguna (Guest) on December 26, 2015
π Bado nacheka!
Aziza (Guest) on December 2, 2015
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Alice Jebet (Guest) on November 20, 2015
Nimeipenda hii joke! ππ
Amani (Guest) on November 1, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Christopher Oloo (Guest) on October 24, 2015
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
David Ochieng (Guest) on October 1, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Mhina (Guest) on September 20, 2015
π€£ Ninashiriki hii na kila mtu!
James Mduma (Guest) on August 7, 2015
π Umenishika vizuri!
Warda (Guest) on June 26, 2015
π Umeshinda mtandao leo!
Michael Onyango (Guest) on June 18, 2015
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Sarah Mbise (Guest) on June 18, 2015
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Bernard Oduor (Guest) on April 28, 2015
Hii imenifurahisha sana! ππ