Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Maulid (Guest) on December 22, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rubea (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Kheri (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🀣πŸ”₯😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Bakari (Guest) on April 21, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Related Posts

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Nilichokifanya leo

Nilichokifanya leo

Leo nmemlipa konda nauli, akasahau kunishusha kituoni. Na mimi nkakaa KIMYAAA kumkomoa…..

... Read More
Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_7d874d78f20c3d820fa98254df7fd85a, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3