Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniβ¦
Mara blenda priiiiiβ¦ juiceβ¦ ama milk shakeβ¦. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeβ¦Anza kukuna naziβ¦
Chambua mnafuβ¦
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka⦠katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni⦠hahahaha kwenye friji⦠wala hatumi..
Hahaahha⦠utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuβ¦
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiβ¦Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaβ¦Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindiβ¦Hahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeβ¦
Hahahahahahaβ¦.Baada ya hapo acha apumzikeβ¦ aogeβ¦
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniβ¦
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniβ¦
Hahahahaha⦠yani kwa raha ya supu⦠nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana⦠hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo⦠unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaβ¦
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoβ¦. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliβ¦
Wali maharage kama jeshi la j
Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
George Wanjala (Guest) on May 11, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017
π Nalia kwa kweli hapa!
Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017
π Bado nacheka!
Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017
Nimefurahia sana hii joke! π π
Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017
π€£π€£ππ
Maulid (Guest) on December 22, 2016
π Nilihitaji hii!
Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016
π Ninashiriki mara moja!
David Nyerere (Guest) on November 11, 2016
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Maulid (Guest) on October 22, 2016
π Kichekesho gani!
Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Khadija (Guest) on August 16, 2016
π Kicheko bora ya siku!
Baraka (Guest) on July 25, 2016
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Jaffar (Guest) on June 30, 2016
π Ninacheka sana sasa hivi!
Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016
π€£π€£π
Rubea (Guest) on May 24, 2016
π Kali sana!
Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016
Hii ni ya maana sana! ππ
Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016
π Kichekesho kamili!
Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016
Hii imenifurahisha sana! ππ
Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Anna Malela (Guest) on January 28, 2016
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016
Asante Ackyshine
Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015
π Umenishika vizuri!
Jamila (Guest) on November 17, 2015
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015
π€£πππ
Nassor (Guest) on November 2, 2015
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Ramadhan (Guest) on November 1, 2015
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015
πππ
Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015
π πππ
Kheri (Guest) on September 4, 2015
π Naihifadhi hii!
Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015
π Hii ni kali sana!
Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015
Mna talent ya jokes! ππ
George Mallya (Guest) on June 15, 2015
π€£π₯π
David Sokoine (Guest) on June 1, 2015
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015
π€£ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015
π€£ππ
Bakari (Guest) on April 21, 2015
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Chiku (Guest) on April 12, 2015
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ