Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Featured Image

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.

Cheka kidogo

Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.

Mlizi mbio mbio

Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.

13, 13…

Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,….. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14……

WATAALAM

Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.

Ya leo mgonjwa

Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.

4WD

Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"

Ajali ilivyotokea

Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"

Faini ya kukojoa

Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tena…

Mume anaenda kazini

Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kazini…

Hasira za mtoto

Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.

Mgonjwa na Dokta

Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.

Pilau la bachela

Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.

Mwizi na chizi

Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.

Chemsha bongo

Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on May 9, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Paul Kamau (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jackson Makori (Guest) on May 24, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on May 18, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on May 11, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on April 21, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on April 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on March 21, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Ruth Mtangi (Guest) on December 12, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on December 4, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Fadhili (Guest) on December 2, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 11, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on November 4, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on September 19, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zakaria (Guest) on August 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Sokoine (Guest) on July 31, 2022

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on March 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Abdullah (Guest) on January 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mustafa (Guest) on December 17, 2021

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ndoto (Guest) on November 6, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on October 1, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on September 23, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Safiya (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Bahati (Guest) on September 15, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on September 5, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Related Posts

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3