Soma vichekesho hivi;
Mwizi wa atm
Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ameripoti polisi akajibu "sijaripoti bado, mwizi mwenyewe hamfikii matumizi kama mke wangu.
Cheka kidogo
Njia rahisi kusahau matatizo yako (japo kwa muda mfupi) vaa viatu vinavyokubana.
Mlizi mbio mbio
Tulikuwa bar moja jana mlinzi kaingia spidi, akamwambia jamaa mmoja aliyekaa kaunta, Mlinzi: Mzee gari lako limeibiwa Mzee: Umemtambua aliyeiba? Mlinzi: Hapana lakini nimeandika namba za gari hizi hapa.
13, 13β¦
Jamaa alikuwa anapita nje ya wodi ya vichaa akasikia mtu anasema, 13, 13, 13, 13, 13, 13,β¦.. akaamua kuchungulia kwenye kitundu alichokiona ajue kuna nini, ile kuchungulia tu akamwagiwa mchanga wa machoni, sauti ikabadili ikaanza 14,14,14,14,14β¦β¦
WATAALAM
Jamaa alikuwa anaumwa sana, mkewe akamwita daktari, alipofika akamkuta jamaa kafumba macho;
Dokta: Huyu mbona amekwisha kufa?
Jamaa: Sijafa bwana
Mke: Hebu nyamaza bwana acha kubishana na wataalamu.
Ya leo mgonjwa
Dokta alipotembelea wodi ya mgonjwa wake aliyepata ajali. Mgonjwa akiwa amening'inizwa mikono juu akauliza "dokta ntaweza kweli kupiga kinanda nkitoka hospitali?"
Dokta: Bila shaka utaweza, wewe ni mpiga kinanda mzuri enh?
Mgonjwa: Hapana sijawahi kabisa bado.
4WD
Mwanaume alimnunulia pete ya almasi mkewe, rafiki akauliza "si ulisema anapenda gari yenye four wheel drive, mbona umenunua pete?" Mume akajibu "unadhani wapi ntapata rav4 feki?"
Ajali ilivyotokea
Trafiki polisi akihoji palipotokea ajali "ahaa! Sasa naanza elewa embu nielezee jinsi ajali ilivyotokea wewe ukiwa kama dereva mhusika." Dereva akajibu "hata sikumbuki nlifumba macho"
Faini ya kukojoa
Polisi alimdaka jamaa anakojoa pembezoni mwa ukuta.
Polisi: Wewe unajua panakatazwa kukojoa hapa?
Jamaa: Sasa nimebanwa nifanyaje?
Polisi: Faini yake elfu tano.
Jamaa akatoa noti ya elfu 10.
Polisi: Sasa chenji tunaipataje?
Jamaa: Tafuta chenji unipe changu.
Polisi: Basi kojoa tenaβ¦
Mume anaenda kazini
Jamaa kaamka asubuhi sana Jumamosi, mvua inanyesha kang'ang'ania kuwa anaenda ofisini. Kawasha gari yake, kufika njiani hali ilikuwa mbaya kaamua kurudi. Kafika home kavua nguo kaingia tena kitandani, kamnong'oneza mkewe aliyekuwa usingizini; "Yaani hali ya hewa huko nje mbaya sana" Mke: Si ndio nimemshangaa huyu mpumbavu eti kaenda kaziniβ¦
Hasira za mtoto
Baba na mtoto:
Baba: Mwanangu ukiwa na hasira unafanya nini?
Mtoto: Naenda chooni.
Baba: Chooni? Kufanya nini?
Mtoto: Kusafisha.
Baba: Halafu ndio hasira zinaisha?
Mtoto: Ndio. Nasafisha choo kwa mswaki wako.
Mgonjwa na Dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja nahisi ninaumwa Malaria na kifua.
Dokta: Sasa ushajua unaumwa nini hapa umefuata nini kwangu?
Mgonjwa: Sasa si nimekuja kwa dokta.
Dokta: Wanaojua kuwa wanaumwa kama wewe wanapitiliza maabara.
Pilau la bachela
Bachela mmoja aliyekua akiishi kwa muda mrefu peke yake kwenye nyumba aliyopanga siku moja alitaka kupika pilau kwa mara ya kwanza. Sasa asijue nini kinachobadilisha rangi ya wali kuwa rangi ya brown, yeye akapika kama kawaida (wali) kisha wakati wa kula akavaa miwani yenye rangi ambayo ukiuangalia wali unauona kama pilau wakati anakula.
Mwizi na chizi
Mwizi kaiba TV na kuanza kukimbia nayo, kumbe ile nyumba mlikuwa na chizi, akaanza kumkimbiza yule mwizi. Kila mwizi akiongeza mbio chizi nae huyo, mwishowe mwizi akasalimu amri na kusimama, yule chizi akamsogelea na kumwambia.. Daah umesahau remote hii hapa mwizi kafleti.
Chemsha bongo
Baba akimuuliza chemsha bongo mwanae anayesoma shule ya chekechea "haya niambie kitu gani hakiwezi kuliwa wakati wa breakfast?" Mtoto akajibu "hiyo mbona rahisi baba, si lunch na dinner"
Susan Wangari (Guest) on May 22, 2024
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
James Kawawa (Guest) on May 9, 2024
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Isaac Kiptoo (Guest) on May 4, 2024
ππππ
Esther Nyambura (Guest) on April 13, 2024
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Andrew Mchome (Guest) on March 26, 2024
πππ π€£
Nancy Kabura (Guest) on January 18, 2024
ππ€£ππ
Nancy Kabura (Guest) on January 12, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Betty Akinyi (Guest) on November 1, 2023
π Ninakufa hapa!
Faith Kariuki (Guest) on October 19, 2023
π Dhahabu ya vichekesho!
Catherine Naliaka (Guest) on October 11, 2023
π€£πππ
Jane Muthui (Guest) on October 2, 2023
π Umeshinda mtandao leo!
Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Lucy Kimotho (Guest) on September 6, 2023
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
James Kawawa (Guest) on July 4, 2023
π Siwezi kuacha kucheka!
Paul Kamau (Guest) on June 25, 2023
π Umenishika vizuri!
Jackson Makori (Guest) on May 24, 2023
Hii ni kali sana! ππ€£
Sharon Kibiru (Guest) on May 18, 2023
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Janet Sumaye (Guest) on May 11, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
David Nyerere (Guest) on April 21, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Jackson Makori (Guest) on April 20, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Joyce Aoko (Guest) on April 14, 2023
π Ninashiriki mara moja!
Isaac Kiptoo (Guest) on April 13, 2023
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Bernard Oduor (Guest) on March 25, 2023
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Wilson Ombati (Guest) on March 21, 2023
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Mary Sokoine (Guest) on December 28, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Elizabeth Mrope (Guest) on December 14, 2022
π€£ππ
Ruth Mtangi (Guest) on December 12, 2022
Huyu alikuwa na point! ππ
Samuel Omondi (Guest) on December 12, 2022
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Anna Sumari (Guest) on December 4, 2022
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Fadhili (Guest) on December 2, 2022
π Ninaihifadhi hii!
Janet Mwikali (Guest) on November 12, 2022
ππ€£ππ
Wilson Ombati (Guest) on November 11, 2022
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Richard Mulwa (Guest) on November 7, 2022
π Bado nacheka!
George Tenga (Guest) on November 4, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Richard Mulwa (Guest) on October 14, 2022
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
David Sokoine (Guest) on September 19, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Mwanahawa (Guest) on August 11, 2022
π Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!
Zakaria (Guest) on August 4, 2022
π Nacheka hadi chini!
Victor Sokoine (Guest) on July 31, 2022
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Alice Jebet (Guest) on June 26, 2022
Umesema kweli! ππ
David Kawawa (Guest) on June 15, 2022
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Agnes Lowassa (Guest) on April 29, 2022
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
Anna Kibwana (Guest) on April 29, 2022
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Catherine Naliaka (Guest) on April 14, 2022
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Joyce Mussa (Guest) on March 19, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Robert Okello (Guest) on March 11, 2022
ππ€£ππ
Simon Kiprono (Guest) on February 7, 2022
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on February 3, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Abdullah (Guest) on January 7, 2022
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Mustafa (Guest) on December 17, 2021
π Kicheko bora ya siku!
Mwanaisha (Guest) on December 10, 2021
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Ruth Mtangi (Guest) on December 9, 2021
π Kichekesho gani!
Wilson Ombati (Guest) on November 8, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Ndoto (Guest) on November 6, 2021
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
David Nyerere (Guest) on October 1, 2021
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Sarah Mbise (Guest) on September 23, 2021
Nimefurahia sana hii! π π
Safiya (Guest) on September 19, 2021
π Lazima nihifadhi hii!
Bahati (Guest) on September 15, 2021
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Joseph Mallya (Guest) on September 5, 2021
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π