Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! 😃

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! 😂👏

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

😄 Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

😂🤣😆👏

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

😅 Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

😅 Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! 😄

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! 🤣👍

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

😂🤣

Kazija (Guest) on January 18, 2024

😄 Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

😄 Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! 😄😂

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🤣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! ☕😆

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! 🤔😆

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

😅😂👌😊

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! 😄

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! 👏😆

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🤣🔥

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

😆 Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

😂😂🤣

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

😆 Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

😆 Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 🤣😆

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

😂🤣😊😅

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! 😆😂

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! 😆😂

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Leila (Guest) on December 20, 2022

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! 👏🤣

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🤣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! 😊👏

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Ali (Guest) on September 3, 2022

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! 🏆

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🤣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

😄 Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! 👏😂

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

🤣👍👌

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! 😅

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

😆 Ninakufa hapa!

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

😄 Umenishika vizuri!

Related Posts

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Angalia alichojibu huyu mwanafunzi, Ungekua wewe ni mwalimu wake ungemfanyaje?

Mwanafunz alikuwa kila siku anachelewa shule, na kila siku alikuwa anachapwa, basi siku moja mwal... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

😂😂 kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
📘 About 🔒 Login 📝 Register 📞 Contact