Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani. Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shamsa (Guest) on July 1, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on June 28, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Faiza (Guest) on June 24, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

John Mwangi (Guest) on June 21, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Simon Kiprono (Guest) on June 16, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Rose Mwinuka (Guest) on May 16, 2024

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

John Mushi (Guest) on May 16, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Mushi (Guest) on April 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mtumwa (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on March 28, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Zainab (Guest) on February 28, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on February 4, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 29, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Kazija (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Abubakari (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Patrick Kidata (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on December 21, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on December 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Henry Sokoine (Guest) on November 25, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on November 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on October 16, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 11, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Emily Chepngeno (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

David Sokoine (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mariam (Guest) on July 24, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Fredrick Mutiso (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Farida (Guest) on July 20, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on July 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zawadi (Guest) on July 5, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Hawa (Guest) on June 22, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mchome (Guest) on May 29, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on May 25, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 18, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on April 15, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on January 18, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Leila (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Victor Sokoine (Guest) on November 18, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on November 7, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 5, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Paul Ndomba (Guest) on September 9, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 5, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 3, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on August 29, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Fredrick Mutiso (Guest) on July 31, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Rahma (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Mwafirika (Guest) on July 8, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Njuguna (Guest) on July 7, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nancy Komba (Guest) on July 4, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Hawa (Guest) on July 1, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Benjamin Masanja (Guest) on June 26, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Emily Chepngeno (Guest) on May 29, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Mwanahawa (Guest) on May 16, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Shamsa (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About