Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…" Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!? John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Peter Tibaijuka (Guest) on July 18, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on June 18, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on April 21, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Issa (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Kibona (Guest) on March 25, 2024

😊🀣πŸ”₯

Juma (Guest) on March 22, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on March 15, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on February 27, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mariam (Guest) on February 26, 2024

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joy Wacera (Guest) on February 19, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 8, 2024

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on February 7, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on January 24, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on January 12, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on December 11, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Kiwanga (Guest) on November 28, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Joseph Kitine (Guest) on November 26, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on November 4, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on October 5, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Andrew Mchome (Guest) on October 4, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Khamis (Guest) on August 18, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Malima (Guest) on August 12, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Maimuna (Guest) on July 21, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Anna Mahiga (Guest) on June 29, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Anna Mchome (Guest) on June 28, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on June 12, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on June 11, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on June 10, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Robert Ndunguru (Guest) on June 10, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ruth Mtangi (Guest) on May 8, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on March 28, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Chacha (Guest) on March 10, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on March 3, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on February 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on January 15, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Kamande (Guest) on December 30, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

David Chacha (Guest) on November 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 7, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Elizabeth Mtei (Guest) on October 23, 2022

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Jabir (Guest) on October 18, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

James Mduma (Guest) on October 10, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Abdullah (Guest) on October 9, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on September 2, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Amina (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Sokoine (Guest) on August 2, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 30, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on June 23, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 14, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on May 17, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Were (Guest) on May 8, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

George Mallya (Guest) on April 29, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Amir (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on March 11, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Betty Cheruiyot (Guest) on January 22, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Malima (Guest) on December 15, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on December 15, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on December 4, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kawawa (Guest) on November 14, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More