Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d611cf43221c1e1dd7b1d59cbcc18be0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa
Date: March 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.
6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
π₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπππ
π
π
π
π
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_d611cf43221c1e1dd7b1d59cbcc18be0, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.
Swali la kwa...
Read More
MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???
MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More
Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika...
Read More
Ndio hizi sasa
1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ...
Read More
ππππ
MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l...
Read More
ππππukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba
...
Read More
Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa...
Read More
Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos...
Read More
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo B...
Read More
Mimi Nimecheka sana
ππππππππππ
ZIARA ZA KUSHTUKIZAππ...
Read More
Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπ, akaenda hospital akawekewa macho ya pakaππ±,
dokt...
Read More
Wazo la asubui
πPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib...
Read More
John Lissu (Guest) on May 30, 2024
π€£π₯π
Rukia (Guest) on May 26, 2024
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024
ππ€£π₯
Samuel Were (Guest) on April 20, 2024
Napenda jokes zenu! ππ
Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024
Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! π
Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024
Hii ni kali sana! ππ€£
Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024
Umesema kweli! ππ
Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024
Umetisha! ππ
Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ππ€£
Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Ndoto (Guest) on November 6, 2023
π Ninacheka sana sasa hivi!
Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023
πππ π
Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Ahmed (Guest) on October 16, 2023
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023
π€£ππ
Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023
Mna talent ya jokes! ππ
Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023
π€£ Hii imenigonga vizuri!
Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023
π Naihifadhi hii!
Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
Hekima (Guest) on June 2, 2023
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Sumaya (Guest) on May 16, 2023
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Saidi (Guest) on May 1, 2023
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023
π Naihifadhi hii!
Mwalimu (Guest) on April 29, 2023
π Hali imeboreshwa papo hapo!
George Mallya (Guest) on April 28, 2023
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
George Ndungu (Guest) on April 5, 2023
Hii imenifurahisha sana! ππ
Safiya (Guest) on April 2, 2023
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023
Hii imenibamba sana! ππ
Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023
Hii imenichekesha sana! ππ
Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023
ππ
Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022
π ππ
Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022
π Bado nacheka!
Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Shamsa (Guest) on September 11, 2022
π Nacheka hadi chini!
Fadhila (Guest) on September 6, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022
Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! π
Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022
Hii kichekesho inastahili tuzo! π
Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ
Mashaka (Guest) on June 4, 2022
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022
π Kicheko bora ya siku!
Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022
ππππ
Frank Macha (Guest) on April 27, 2022
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022
π Hii ni kali sana!
Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ