Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
BABA: Mungu alimuumba Nabii Adam na Hawa.
Kisha wao wakaanza kuzaa watoto na watoto
wakazaa mpaka tukazaliwa sisi. (Mtoto hakuridhika
akamfuta mamake)
MTOTO: Mma, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duniani?
MAMA: Wanasayansi wamesema sisi tulitokana na
manyani baadae tukawa binadamu. (Mtoto akarudi
kwa baba)
MTOTO: Baa mbona mama ansema sisi tulikuwa
manyani mwanzo?Au wanidanganya?
BABA: Mwanangu, mimi nimekuelezea kuhusu ukoo
wetu. Mamako amekuelezea kuhusu ukoo waoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌπŸšΆπŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Emily Chepngeno (Guest) on July 18, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Nancy Kabura (Guest) on July 6, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on July 2, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Janet Sumari (Guest) on June 29, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 8, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Francis Mrope (Guest) on April 27, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 21, 2024

😁 Kicheko bora ya siku!

Anna Sumari (Guest) on April 16, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 13, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on April 11, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on March 29, 2024

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Isaac Kiptoo (Guest) on March 18, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on February 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 5, 2024

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on January 16, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Catherine Mkumbo (Guest) on January 10, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on December 26, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on November 3, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Kiwanga (Guest) on November 3, 2023

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on October 9, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Monica Adhiambo (Guest) on October 7, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on October 5, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 29, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on July 17, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kabura (Guest) on July 12, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 13, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mary Njeri (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 26, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on May 16, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on May 7, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarafina (Guest) on May 5, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Kangethe (Guest) on April 30, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Omari (Guest) on April 22, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanakhamis (Guest) on March 21, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on March 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on March 13, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Fikiri (Guest) on February 5, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mzee (Guest) on January 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 19, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Odhiambo (Guest) on January 18, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on December 27, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Francis Mrope (Guest) on December 21, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on December 12, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Robert Okello (Guest) on November 12, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Linda Karimi (Guest) on November 6, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline!

Lucy Wangui (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Kamande (Guest) on September 11, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zakaria (Guest) on September 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Nyerere (Guest) on August 27, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on August 10, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Issack (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Awino (Guest) on June 15, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Salima (Guest) on May 19, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on May 5, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

πŸ“– Explore More Articles | ✍🏻 Re-Write Articles