Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mungu ni Mwaminifu

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Mungu ni Mwaminifu Sana na mwenye mipango na subira katika kila kitu hasa Sala na maombi yetu kwake. Tunaposali leo Mungu anatusikia na kujibu leo, kesho au hata miaka kumi ijayo. Inawezekana hata baraka zako za leo ni majibu ya Sala zako miaka kumi iliyopita. Sali bila kuchoka kwani hujui Sala zako zitakusaidia lini. Usitegemee majibu ya Sala zako wakati huo huo, amini katika uaminifu wa Mungu kwani anajua lini ni siku sahii ya kukujibu.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Apr 27, 2024
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ John Mushi Guest Sep 3, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Aug 22, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Aug 14, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Jul 28, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jul 15, 2023
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Jul 10, 2023
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Jul 7, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Alice Mwikali Guest Jun 20, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Jun 4, 2023
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Apr 9, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Feb 22, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Jan 31, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jul 9, 2022
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest May 26, 2022
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Grace Minja Guest May 21, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Apr 20, 2022
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Mar 31, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Mar 23, 2022
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Brian Karanja Guest Jan 15, 2022
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Oct 30, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Sep 28, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Jul 12, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ David Chacha Guest Apr 25, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ John Mushi Guest Jan 7, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Carol Nyakio Guest Dec 1, 2020
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ John Malisa Guest Jun 29, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Apr 14, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Feb 10, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ John Lissu Guest Sep 10, 2019
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Feb 23, 2019
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Nov 16, 2018
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Aug 27, 2018
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Jun 14, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Alice Mwikali Guest Jun 3, 2018
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest May 20, 2018
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Apr 6, 2018
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Mar 14, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Paul Kamau Guest Jan 13, 2018
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Dorothy Majaliwa Guest Jan 6, 2018
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Oct 23, 2017
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Rose Mwinuka Guest Sep 19, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Rose Amukowa Guest Aug 31, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Feb 23, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Dec 12, 2016
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Oct 30, 2016
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Joseph Mallya Guest Oct 15, 2016
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Dorothy Nkya Guest Oct 5, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Henry Mollel Guest Mar 7, 2016
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Irene Makena Guest Feb 5, 2016
Endelea kuwa na imani!

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About