Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95c42a7c95882a37bc4f39386fbe5559, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Jinsi ya kupika Pilau Ya Nyama Ya Ng'ombe Na Nyanya
Date: April 10, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Viambaupishi
Mchele (Basmati) 3 vikombe
Nyama ya ngoβmbe 1 kg
Pilipili boga 1 kubwa
Nyanya 2 kubwa
Vitunguu maji 2 vikubwa
Kitunguu saumu(thomu/galic) iliyosagwa 1 kijiko cha supu
Tangawizi 1 kijiko cha chai
Ndimu 1
Mafuta ya kupikia Β½ kikombe
Mdalasini Β½ kijiko cha chai
Binzari nyembamba 1 kijiko cha chai
Pilipili manga Β½ Kijiko cha chai
Hiliki Β½ Kijiko cha chai
Jinsi ya kuandaa na kupika
Loweka mchele wako katika chombo
Chukuwa nyama na ioshe vizuri na itie thomu, tangawizi, ndimu, pilipili manga na chumvi kiasi
Iweke jikoni hadi ikauke maji na kuwa imewiva huku ukiikaanga kaanga kwa hayo hayo mafuta yake hadi kuwa rangi ya hudhurungi
katakata Vitunguu na nyanya weka pembeni
Chukua pilipili boga, thomu, tangawizi na visage katika mashine ya kusagia
Weka sufuria pembeni na utie mafuta, subiri yapate moto
Kisha tia vitunguu na vikaange hadi kuwa hudhurungi na tia nyanya
Kisha mimina mchanganyiko wako ulio usaga wa pilipili boga, thomu na tangawizi
Koroga kwa dakika kadhaa Kisha mininia nyama uliyokuwa tayari, maji kiasi na chumvi wastani na subiri maji hayo yachemke
Weka mchele humo na koroga kiasi na onja chumvi kama ipo sawa au kama ndogo unaweza kuongeza
Funika na punguza moto na uache uive taratibu
Baada ya kukauka maji kabisa basi ugeuze na subiri tena kwa dakika kama mbili na tayari kuliwa.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_95c42a7c95882a37bc4f39386fbe5559, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mahitaji
Mchele - 2 Mugs
Viazi - 3
Nyama ya Kusaga - 1 Pound
Mboga mcha...
Read More
Viamba upishi
Ngogwe Β½ kg
Kitunguu 2
Bamia ΒΌ kg
Karoti 2
Mafuta vij...
Read More
Vitafunio 10 vya Afya kwa Kusaidia Zoezi lako la Mazoezi π₯¦ππ₯π₯ππ§π₯π₯π₯π...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga 3 Vikombe
Sukari ya unga (icing sugar) 1 Kikombe
Siagi 250 ...
Read More
VIAMBAUPISHI
Maziwa mazito matamu (condensed milk) - 2 vibati
Sukari - 1 kikombeRead More
Vipimo - Nyama
Nyama ngβombe ya mifupa ilokatwa vipande - 1 kilo
Tangawizi na tho...
Read More
Vipimo
Mchele wa basmati/pishori - 4 vikombe vikubwa (mugs)
Kuku - 2
Vitnguu ...
Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele - 3 vikombe
Tambi - 2 vikombe
Mafuta - ΒΌ kikombe
<...
Read More
Viamba upishi
Unga wa ngano vikombe vikubwa 3
Boga lililopondwa kikombe 1
Bakin...
Read More
Vipimo Vya Wali
Mchele Basmati - 4 vikombe
Vitunguu vya majani (Spring onions) - 5 ...
Read More
Upishi na Maboga: Yenye Virutubisho na Ya Kuvutia π₯¦π₯π₯
Habari za leo wapenzi wa up...
Read More
Upishi kwa Ajili ya Kusaidia Kinga: Kujenga Uimara ππ₯¦ποΈββοΈ
Habari za leo ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!