Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8a7adbba4fe50bc58dddee53bd19ce1b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Mapishi ya Ndizi mzuzu
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Ndizi tamu (plantain) 3-4
Tui la nazi (coconut milk) kikombe 1 cha chai
Sukari (sugar) 1/4 ya kikombe cha chai
Hiliki (Ground cardamon) 1/4 ya kijiko cha chai
Chumvi (salt) 1/4 ya kijiko cha chai
Matayarisho
Menya ndizi kisha zikwangue utomvu wote. Baada ya hapo zikate kati (kiurefu) na kisha kata tena kati katika kila ndizi vitoke vipande 4. baada ya hapo toa moyo wa katikai wa ndizi. Zioshe na kisha zikaushe maji na uziweke kwenye sufuria ya kupikia. Baada ya hapo tia tui la nazi, sukari, chumvi na hiliki. Ziinjike jikono na uziache zichemke uku ukiwa unalikoroga tui ili lisikatike. Baada ya dakika 10 tui la nazi litakuwa limepungua na kubaki kidogo na hapo ndizi zitakuwa zimeshaiva. Ziache zipoe na zitakuwa tayari kwa kuliwa. Zinaweza kuliwa kama mlo (main meal) au kitinda mlo (dissert) au mlo wa pembeni (side dish) haswa kwa futari.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_8a7adbba4fe50bc58dddee53bd19ce1b, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Mapishi Bora kwa Familia Yote Kupenda 🍽️
Karibu tena kwenye makala ya AckySHINE ambap...
Read More
Vitafunio vya Afya kwa Kutosheleza Hamu Zako 🍇🍎🥕
Hakuna jambo bora zaidi kama kuf...
Read More
Mahitaji
Viazi (potato) 1 kilo
Nyama ya ng'ombe 1/2 kilo
Nyanya ya kopo iliyosa...
Read More
Mahitaji
Viazi ulaya (baking potato 5 vya wastani)
Parprika 1 kijiko cha chai
P...
Read More
Viambaupishi
Siagi 100gm
Unga wa kaukau (cocoa powder) 2 Vijiko vya supu
Mazi...
Read More
Mahitaji
Unga wa ulezi (millet flour vijiko 3 vya chakula)
Maziwa fresh (milk 1/2 ki...
Read More
Vipimo
Mrowanishe kuku na viungo hivi kwa muda mdogo tu
Kuku (Mkate kate Vipande) -...
Read More
Mahitaji
Unga wa ngano (self risen flour 2 vikombe vya chai)
Sukari (sugar 1/2 kijik...
Read More
Wakati mwingine mtu unakuwa umechoka na usingependa kupoteza muda jikoni, so mlo wa chapchap unak...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga - 3 Vikombe vya chai
Siagi - 250 gms
Baking powder - 3 Viji...
Read More
Viamba upishi
Unga 2 Viwili
Sukari ya kusaga 1/4 Kikombe
Siagi 250 gms
...
Read More
Mahitaji
Mchele - 2 vikombe
Adesi -1 ½ vikombe
Nazi ya unga - 1 Kikombe
<...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!