Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a94e66b4165d856092c6c9010a5bdeba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Mapishi ya Mlenda wa bamia na nyanya chungu
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Bamia (okra) 20
Nyanya chungu (garden eggs) 5
Magadi soda (Bicabonate soda) 1/4 ya kijiko cha chai
Nyanya (fresh tomato) 1
Chumvi (salt) kidogo
Pilipili 1/4
Matayarisho
Osha bamia, nyanya chungu na nyanya kisha vikatekate katika vipande vidogovidogo. Baada ya hapo vitie kwenye sufuria na vitu vyote vilivyobakia na kisha tia maji kidogo.Chemsha mpaka bamia na nyanya chungu ziive na vimaji vibakie kidogo sana. Baada ya hapo ziponde na mwiko kidogo kisha zikoroge na uipue na mlenda utakuwa tayari kwa kuliwa na ugali.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_a94e66b4165d856092c6c9010a5bdeba, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MAHITAJI
Tambi (vermiceli Roasted) Mifuko 2
Siagi - 4 Vijiko vya supu
Maziwa ...
Read More
Wali Wa Nazi
Mpunga - 4 vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi - Kiasi
Read More
Vipimo
Boga la kiasi - nusu yake
Tui zito la nazi 1 Β½ gilasi
Sukari Β½ kikom...
Read More
VIPIMO
Mchele - 3 Vikombe
Mchicha
Mafuta - 1/2 kikombe
Vitunguu maji - ...
Read More
Mahitaji
Tambi (Spaghetti)
Nyama ya kusaga
Kitunguu maji
Nyanya ya kopoRead More
VIAMBAUPISHI
Philo (thin pastry) manda nyembamba - 1 paketi
Siagi - ΒΌ Kikombe cha ...
Read More
Mahitaji
Mchele
Kisamvu kilichotwangwa
Samaki
Mbaazi
Nyanya chunguRead More
Mahitaji
Samaki (Tilapia 2)
Nyanya ya kopo (Tomato tin 1)
Kitunguu (Onion 1)Read More
VIAMBAUPISHI
Unga wa ngano 1Β 1/2 Kikombe
Baking powder 1 Kijiko cha chai
Bak...
Read More
Mahitaji
Kuku wa kienyeji (boiler chicken 1)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Nyanya ya k...
Read More
Mahitaji
Nyama isiyokuwa na mifupa - 1 Β½ Lb(ratili)
Mchele wa Basmati (rowanisha) -...
Read More
VIPIMO
Unga wa mchele 500g
Samli 250g
Sukari 250g
Hiliki iliyosagwa 1/2 k...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!