Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_3a10c4694b2ae83c169b908f3e174227, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line
4
Mapishi ya wali wa mboga
Date: April 9, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Mahitaji
Wali uliopikwa (cooked rice) kiasi
Hoho la kijani (green pepper) 1/2
Hoho jekundu (red pepper) 1/2
Carrot 1
Kitunguu kikubwa (onion) 1
Njegere (pears) 1/2 kikombe cha chai
Mayai (eggs) 2
Uyoga (mushroom) 2 vikombe vya chai
Soy source 2 vijiko vya chakula
Chumvi (salt) kiasi
Mafuta (veg oil) 3 vijiko vya chakula
Matayarisho
Katakata hoho, kitunguu,na uyoga vipande vikubwa kiasi(chunks) kisha katakata carrot zisiwe nene au nyembamba sana. Baada ya hapo weka mafuta katika katika frying pan yako isiyoshika chini acha yapate moto kisha tia uyoga na ukaange mpaka uive.Baada ya hapo tia vegetable zote na uzikaange pamoja na uyoga kwa muda wa dakika 2, kisha katika hiyohiyo frying pan zisogeze vegetable zako pembeni (ili kupata nafasi ya kukaangia mayai).Yakaange mayai katika hiyo sehemu yakiisha iva yavuruge na kisha yachanganye pamoja na vegetable na kisha tia chumvi kidogo sana. Baada ya hapo malizia kwa kutia wali na soy source kisha koroga vizuri mpaka mchanganyiko wako wote uchanganyike vizuri (hakikisha wali unapata moto na vegetable haziivi sana) . Na baada ya hapo chakula chako kitakuwa tayari.
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_3a10c4694b2ae83c169b908f3e174227, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in
/home/ackyshine/katoliki/comments.php on line
4
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
MAHITAJI
Wafer Powder/gram wafer (unga wa biskuti uliosagwa wa tayari) - vikombe 2
...
Read More
Mahitaji
Mchele - 4 vikombe
Kuku - 1
Vitunguu - 3
Nyanya/tungule - 4Read More
Leo tunaangalia mapishi ya fish finger ( sijui kama unaweza kusema kidole cha samaki)!, Ni mlo mz...
Read More
Mahitaji
Ndizi mbichi - 10-12
Nyama ngβombe - 1 kilo moja
Kitunguu maji - 2...
Read More
Jinsi ya Kujiandaa kwa Chakula cha Wiki Nzima cha Lishe Bora π₯
Hakuna jambo bora kuliko...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele - 3 Vikombe
Kitunguu kiichokatwa - 1
Pilipili bog...
Read More
Kupika tambi ni kama ifuatavyo
VIAMBA UPISHI
Tambi pakti moja
Sukari ΒΎ kikom...
Read More
Vipimo
Wali:
Mchele mpunga - 4 Vikombe
Tui la nazi - 6 vikombe
Chumvi...
Read More
Mahitaji
Kabichi 1/2 kilo
Nyanya ya kopo 1/2
Kitunguu 1
Curry powder 1/2 k...
Read More
Vitafunio 10 vya Afya kwa Kusaidia Zoezi lako la Mazoezi π₯¦ππ₯π₯ππ§π₯π₯π₯π...
Read More
MAHITAJI
Unga vikombe 2 ΒΌ
Siagi 250g
Sukari kukaribia kikombe Β½ (au takriba...
Read More
VIAMBAUPISHI
Unga 3 Vikombe
Sukari ya unga (icing sugar) 1 Kikombe
Siagi 250 ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!