Ni kweli kwamba kuna sehemu za mwili ambazo zikiguswa huleta msisimko mwilini.
Kisimi (au kinembe) ni moja ya sehemu hizo kwa mwanamke, kwa sababu pale kuna mkusanyiko mkubwa wa mishipa ya fahamu. Kusugua kisimi ni njia salama ya kumaliza ashiki ya kutaka kujamii ana. Hakuna madhara yoyote ya kiafya wala kiakili kama kisimi kinasuguliwa.
No comments yet. Be the first to share your thoughts!