Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Usipite bila kusoma kisa hiki cha kusisimua

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa iliyoambatana na radi ikaanza kunyesha. Dereva hakuogopa, wala abiria, wakaendelea na safari. Mara wakati wanaenda, radi ikaanza kufuatilia gari. Kila wakienda, radi inapiga karibu na basi kana kwamba inalifuata basi. Likisimama, radi inapiga pembezoni mwa basi.

Dereva kuona hivyo, akasimamisha gari mita 5 kutoka kwenye mti… Akawaambia abiria, "Humu ndani ya basi, kuna mtu ambaye leo ni siku yake ya kufa, tena kufa kwa radi. Ili tusife wote, nataka kila abiria ashuke akaguse mti ili anayepigwa na radi, apigwe wengine wasife kwa ajili yake. "Abiria wakitetemeka, wakaanza kushuka mmoja mmoja. Unaenda unagusa mti , kisha unarudi kwenye basi. Abiria wote pamoja na dereva mmoja mmoja, wakaenda, wakagusa mti na kurudi bila dhara lolote! Akawa kabaki abiria mmoja tu, ambaye alikuwa hajagusa mti. Abiria wote kwa macho ya hasira wakamwambia akaguse mti. Akawa anaogopa kufa. Akagoma. Wakamlazimisha kwa nguvu sana na kumtoa nje……. …….. Yule abiria akiwa amefumba macho, akaenda akagusa mti. Hamadi bin Vuu! Radi kali sana ikalipiga basi, abiria na wote waliokuwamo, wakafa palepale. Kumbe uwepo wake ndio ulikuwa unazuia abiria wengine wasidhurike na radi.

MAFUNZO

1. Unapofanikiwa, huwezi jua uwepo wa nani umefanikisha mafanikio yako, usichukue sifa zote peke yako. Wapatie na wengine bila kumsahau MUNGU.
2. Unaweza kujiona huna thamani sehemu ulipo, iwe kwenye kundi la WhatsApp, darasani, kazini, kwenye basi, barabarani bila kujua kama uwepo wako ni wa muhimu sana kwa ustawi wa wengine.
3. Usimtenge wala kumnyanyasa mtu au jirani yako, huwezi jua uwepo wake ni kwa ajili gani.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Anna Mchome Guest Jul 8, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest May 4, 2024
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Miriam Mchome Guest Mar 11, 2024
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Feb 29, 2024
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Oct 30, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Oct 22, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Sep 18, 2023
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ James Mduma Guest Sep 9, 2023
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Aug 29, 2023
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Aug 22, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest May 29, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Oct 30, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Margaret Anyango Guest Sep 4, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest May 25, 2022
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Agnes Njeri Guest Apr 28, 2022
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Apr 11, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Sep 30, 2021
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Patrick Mutua Guest Jun 16, 2021
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jun 13, 2021
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Dec 9, 2020
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Dec 3, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Nov 29, 2020
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Nov 16, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Aug 5, 2020
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Grace Minja Guest May 24, 2020
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ John Malisa Guest Dec 7, 2019
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Jul 10, 2019
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Kitine Guest Jul 8, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Lydia Wanyama Guest Jun 22, 2019
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Michael Mboya Guest May 17, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Apr 27, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Kevin Maina Guest Jan 25, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Lydia Mahiga Guest Sep 5, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest May 24, 2018
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Nov 10, 2017
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ David Ochieng Guest Aug 9, 2017
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Janet Wambura Guest Aug 7, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Apr 21, 2017
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest Apr 21, 2017
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Nov 20, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Nov 12, 2016
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Sep 29, 2016
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Janet Mwikali Guest Jul 2, 2016
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Jun 16, 2016
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Nov 29, 2015
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Oct 16, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Nancy Akumu Guest Oct 13, 2015
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ John Lissu Guest Sep 13, 2015
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Aug 16, 2015
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Susan Wangari Guest Jun 19, 2015
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About