Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

TAFAKARI KUHUSU NAFASI YA MATESO NA SHIDA KATIKA MAISHA

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Ni kwa nini tunapata Mateso na shida katika Maisha? Kwa nini Mungu ameruhusu tuteseke?

Mungu hapendi mtu Ateseke lakini ni kwa njia ya ya Mateso mtu anaweza akapimwa IMANI yake, UNYENYEKEVU, UTII na Matumaini yake kwa Mungu.


Mateso na shida katika maisha ni nafasi ya kujifunza na Kuonyesha unyenyekevu, Imani na Matumaini ya mtu.


Mateso yanaweza kuwa malipizi ya dhambi kama adhabu au Majitoleo .


Mtu anaweza kujitesa au kukubali Mateso huku akiyachukulia kama malipizi ya dhambi zake au dhambi za wengine.


Sio rahisi kwa mtu wa kawaida kuweza kukubali au kujitesa kwa ajili ya dhambi hasa kwa dhambi zisizokua zake, Ni watu wachache Wenye fadhila hii. Mfano Watakatifu kama Mt. Faustina aliweza kuchukua Mateso kama malipizi ya dhambi hasa za watu wengine ambapo alikubali magonjwa shida na Kudharauliwa kama malipizi ya dhambi.


Yesu mwenyewe pamoja na Umumgu na Enzi yake alikubali Mateso kama Malipizi ya dhambi za watu na Kama njia ya Kuonyesha Unyenyekevu na Upendo.

Kumbuka, Mateso ni njia ya Kuonyesha unyenyekevu, Upendo na Kujitolea kwa hiyo ni kama malipizi na majitoleo hivyo sio lazima mtu ateseke au Ajitese ili aokolewe au aingie Mbinguni.


Mungu hapendi mtu ateseke ila anakubali Mateso kama njia ya kupima mtu na kumtakatifuza.

Mateso = Malipizi = Majitoleo = Kipimo cha Imani na Matumaini kwa Mungu

KUMBUKA: Ni kwa njia ya Mateso na Kifo cha Bwana wetu Yesu Kristo sisi tuliokolewa. Mababu wote Kwenye Biblia na Manabii walipitia dhiki na Mateso, Hata mitume nao waliteseka


Sio mara zote Mateso na Shida maana yake ni kuachwa na Mungu au Kuadhibiwa na Mungu, mara nyingine mateso ni majaribu, kipimo cha Imani na njia ya kujivika Utakatifu.


Mungu anakupenda sana, mtumainie yeye. Yote yanapita lakini yeye atasimama milele.

Mungu na Akubariki na kukupa Faraja.
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 100

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Jul 13, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Rose Kiwanga Guest Jul 3, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Jun 18, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Apr 7, 2024
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Mar 9, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ John Mushi Guest Mar 5, 2024
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Feb 23, 2024
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Oct 30, 2023
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Oct 29, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Oct 20, 2023
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Robert Ndunguru Guest Oct 2, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Sep 15, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Aug 29, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Nora Kidata Guest Jul 20, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jul 9, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Charles Mboje Guest Jul 5, 2023
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Victor Malima Guest Jul 5, 2023
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Jun 17, 2023
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Jun 4, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Mar 21, 2023
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Mar 21, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Dec 19, 2022
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Nov 15, 2022
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Oct 25, 2022
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ John Malisa Guest Oct 17, 2022
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Ann Wambui Guest Sep 30, 2022
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Aug 19, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Aug 1, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Jul 29, 2022
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Apr 9, 2022
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ George Wanjala Guest Feb 28, 2022
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ George Mallya Guest Jan 10, 2022
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Janet Mbithe Guest Jan 3, 2022
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Moses Kipkemboi Guest Nov 23, 2021
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Paul Ndomba Guest Oct 27, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Robert Okello Guest Oct 5, 2021
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Anna Malela Guest Oct 4, 2021
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Linda Karimi Guest Aug 17, 2021
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Irene Akoth Guest Jul 3, 2021
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ James Kimani Guest May 17, 2021
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest May 3, 2021
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Elizabeth Malima Guest Apr 9, 2021
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Joyce Aoko Guest Mar 31, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Mar 3, 2021
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest Feb 17, 2021
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Feb 9, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Andrew Mahiga Guest Nov 25, 2020
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ James Kawawa Guest Oct 10, 2020
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Oct 9, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ John Malisa Guest Sep 4, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest May 16, 2020
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest May 3, 2020
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Simon Kiprono Guest Apr 17, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Aug 24, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Aug 11, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jun 30, 2019
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Apr 14, 2019
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Ruth Kibona Guest Feb 6, 2019
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Jan 17, 2019
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Dec 18, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About