Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Daima Tunakumbushwa kuungama dhambi zetu hata kama ni ndogo kiasi gani

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image

Kulikuwa na vijana wawili walioamua kwenda kwa padri kumwelezea shida zao.
Basi walipofika kwa yule padre, wakamwambia padre, " samahani padre tuko hapa mbele yako kwa kuwa tumejisikia kuwa ni wadhambi ha hivyo tunahitaji kuungama.

Basi wakwanza akamwambia padre, " Mimi dhambi zangu ni kubwa sana hata ninaona aibu kuziungama", wa pili akamwambia padre, " sahamani padre mimi nimetenda dhambi ila siyo kubwa sana kama za mwenzangu, bali ni dhambi ndogondogo." Baada ya kusikia hayo padre aliwaambia basi kila mmoja aende akaokote mawe kadiri ya dhambi alizozitenda na akamletee. Hao vijana walienda kuokota mawe kadiri ya dhambi za kila mmoja wao. Mmoja wao alileta jiwe moja kubwa ambalo alikuja akilivilingisha hadi pale alipokuwepo padre, na mwingine alileta mawe madogomadogo mengi kwenye mfuko. Baada ya padre kuone kuwa walifanya alivyowaagiza, basi aliwaambia kuwa kila mmoja arudishe mawe yake sehemu ile ile alipoyaokota. Yule aliyebeba jiwe kubwa ilikuwa rahisi kujua alipolitoa hivyo alilivilingisha mara moja na kulirudisha mahali pake, wakati yule aliyekuwa na mawe madogomadogo alishindwa kukumbuka mahali alipoyatoa, hivyo akaishia kuhangaika na kumwambia padre kuwa hawezi kumbuka mahali alipotoa kila jiwe, na kwake ni vigumu.

Baada ya hayo padre aliwaambia wote kuwa yule mwenye dhambi kubwa daima ni rahisi kuiungama maana huwa inashika nafasi kubwa katika nafsi yake na inamfanya asiwe na amani daima, kwa hivyo ni rahisi kukumbuka kuiungama dhambi yake, vilevile padre akamgeukia yule mwingine aliyebeba mfuko wa mawe madogomadogo na akamwambia kuwa, jinsi ulivyoshindwa kurudisha hayo mawe katika nafasi yake kila moja, ndivyo ilivyo kwa dhambi ndogondogo ulizotenda. Dhambi zionekanazo kuwa ni ndogo zaweza sahulika na kukufanya utende dhambi nyingine ya kutokukumbuka wajibu wako wa kuungama ukidhani kuwa hujatenda dhambi.

Daima tunakumbushwa kuungama dhambi zetu hata kama ni ndogo au hata kama tumesahau, kwa maana kuna zile dhambi ambazo ni nyepesi na rahisi kusahulika na hivyo kutufanya daima tujihisi kuwa sisi hatuna haja ya kuungama.

AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Jun 30, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest Mar 1, 2024
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Feb 9, 2024
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Josephine Nekesa Guest Dec 31, 2023
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Dec 31, 2023
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Patrick Akech Guest Oct 21, 2023
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Emily Chepngeno Guest Sep 3, 2023
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Sharon Kibiru Guest Jun 19, 2023
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Mary Kidata Guest May 29, 2023
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Raphael Okoth Guest Dec 26, 2022
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Apr 17, 2022
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Feb 3, 2022
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Elizabeth Mrema Guest Dec 29, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ James Kimani Guest Nov 24, 2021
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Anthony Kariuki Guest Nov 12, 2021
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Aug 7, 2021
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Lucy Mushi Guest Jun 23, 2021
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Feb 23, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Josephine Nduta Guest Dec 17, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Oct 25, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Oct 2, 2020
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Jul 31, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Apr 2, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Mar 12, 2020
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Jan 31, 2020
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Tabitha Okumu Guest Dec 14, 2019
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Mary Kendi Guest Dec 13, 2019
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Charles Mrope Guest Sep 22, 2019
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest Jun 11, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Edith Cherotich Guest Apr 3, 2019
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Jun 24, 2018
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Charles Wafula Guest Jun 20, 2018
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ David Sokoine Guest Jun 1, 2018
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest Feb 23, 2018
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Isaac Kiptoo Guest Oct 10, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Dorothy Mwakalindile Guest Sep 18, 2017
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest Sep 13, 2017
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Monica Lissu Guest Apr 12, 2017
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Mariam Kawawa Guest Feb 26, 2017
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Feb 1, 2017
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Dec 9, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Anna Mahiga Guest Dec 3, 2016
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Oct 15, 2016
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Nicholas Wanjohi Guest Jun 11, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Esther Nyambura Guest May 9, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Nov 17, 2015
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Oct 27, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Sarah Achieng Guest Sep 1, 2015
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jun 15, 2015
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Janet Sumaye Guest Apr 4, 2015
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About