
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4
Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina.
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo atakayeifaulu atakuwa huru, atakayeshindwa atauawa.
Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
Wakapelekwa msituni wakaambiwa kila mmoja aende kwa njia yake halafu arudi na matunda kumi ya kufanana.
Wakaingia msituni kila mtu njia yake.
β¦ Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu yake ni kumeza moja moja likiwa zima bila kufumba macho bila kulia wala kucheka wala kujitikisa mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigiwa risasi akafa.
Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pili vilaini. Akasomewa masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini⦠alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia akaangua kicheko! Akapigwa risasi pia akafa.
Wakiwa kuzimu Mganda akamwuliza Mkenya, βVipi, mbona ulishindwa kuvumilia wakati kilibaki kitunda kimoja tu?β
Mkenya akamjibu: βMkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona Mbongo anakuja na matikiti maji!β
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Mary Njeri (Guest) on June 22, 2024
π Bado nacheka!
Esther Cheruiyot (Guest) on June 12, 2024
π€£π€£π
Margaret Mahiga (Guest) on June 9, 2024
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Peter Mugendi (Guest) on May 13, 2024
Mna talent ya jokes! ππ
Latifa (Guest) on May 1, 2024
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Leila (Guest) on April 27, 2024
π Lazima nihifadhi hii!
Janet Sumaye (Guest) on April 18, 2024
Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! π
James Mduma (Guest) on April 17, 2024
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Rose Lowassa (Guest) on April 2, 2024
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Monica Lissu (Guest) on March 24, 2024
ππ π
Lydia Mahiga (Guest) on March 3, 2024
π Kali sana!
Anna Mchome (Guest) on February 17, 2024
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
David Sokoine (Guest) on February 9, 2024
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Amani (Guest) on February 6, 2024
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
Lydia Mzindakaya (Guest) on January 27, 2024
ππ€£ππ
Joseph Kitine (Guest) on January 7, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Jamila (Guest) on January 6, 2024
π Naihifadhi hii!
Agnes Lowassa (Guest) on January 5, 2024
Nimefurahia sana hii! π π
Mwajabu (Guest) on December 31, 2023
π Ninaihifadhi kwa baadaye!
Paul Ndomba (Guest) on December 16, 2023
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Joseph Kitine (Guest) on September 10, 2023
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Nancy Komba (Guest) on September 8, 2023
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
Janet Mwikali (Guest) on September 5, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida! π€£π
Mwalimu (Guest) on August 8, 2023
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Latifa (Guest) on July 14, 2023
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Elizabeth Malima (Guest) on June 23, 2023
π€£ Hii imewaka moto!
Catherine Naliaka (Guest) on May 31, 2023
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Grace Minja (Guest) on May 8, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Grace Njuguna (Guest) on May 6, 2023
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Nancy Kawawa (Guest) on April 15, 2023
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Jamal (Guest) on March 31, 2023
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Patrick Mutua (Guest) on March 28, 2023
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! π
Nora Lowassa (Guest) on March 20, 2023
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Alice Wanjiru (Guest) on March 1, 2023
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! π
Andrew Mahiga (Guest) on February 28, 2023
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Rose Lowassa (Guest) on February 12, 2023
π Ninakufa hapa!
James Kimani (Guest) on February 11, 2023
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Aziza (Guest) on January 31, 2023
π€£ Hiyo twist mwishoni, ingawa!
Elijah Mutua (Guest) on January 23, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Alice Wanjiru (Guest) on December 22, 2022
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Mercy Atieno (Guest) on November 28, 2022
Hii imenichekesha sana! ππ
Mtumwa (Guest) on November 1, 2022
Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! π
Andrew Mahiga (Guest) on October 7, 2022
Napenda jokes zenu! ππ
Lydia Mutheu (Guest) on September 1, 2022
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Rose Kiwanga (Guest) on August 31, 2022
π€£ππ
Jane Muthui (Guest) on August 23, 2022
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Diana Mumbua (Guest) on August 19, 2022
Hii imenibamba sana! π π€£
Benjamin Kibicho (Guest) on July 24, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Michael Mboya (Guest) on July 20, 2022
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Sarah Karani (Guest) on June 8, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Edward Chepkoech (Guest) on May 19, 2022
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Latifa (Guest) on May 17, 2022
π Siwezi kuacha kucheka!
Edward Chepkoech (Guest) on April 25, 2022
π Umeshinda mtandao leo!
Rashid (Guest) on February 6, 2022
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Rose Waithera (Guest) on January 28, 2022
π€£πππ
Juma (Guest) on January 25, 2022
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Diana Mallya (Guest) on January 7, 2022
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Benjamin Kibicho (Guest) on December 29, 2021
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Rahma (Guest) on October 29, 2021
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Ann Wambui (Guest) on October 22, 2021
ππππ