Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Featured Image

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJUE ni jamaa wa UDSM.

2. Ukaona geto lina nguo nyingi za watu tofauti tofauti, unga mwingi, vtunguu vng, nyanya halaf pembeni, Vitabu vya kutosha na lundo la karatasi za betting ujue huyu JAMAA ni wa SAUT.

3. Ukaona geto halina kitu ndani zaidi ya mkate wa bakheresa na kopo la maji UJUE huyu jamaa ni wa UDOMπŸ˜‚β˜

4. Ukaona geto lina visamaki vikavu mezani, Notes za kutosha mezani na jaba pembeni UJUE huyu ni MJAMAA WA MWENGE/MWECAUπŸ˜œπŸ‘€

5. Ukaona geto lina Mawigi mengi na dressing table pembeni, ngazi ya kuwekea viatu UJUE huyu mjamaa ni wa RUCO IRINGA😘

6. Ukaona geto lina spray za kila aina, Nguo nyingi hasa za mitumba ambazo zimemodolewa mpaka tight UJUE huyu MJAMAA ni wa USHIRIKA MOSHI.

7.Ukiona geto lina Nyanya na mikungu ya ndizi halafu halafu nje kuna jiko la Mkaa UJUE huyu mjamaa ni wa TEKU mbeya😳

8. Ukiona geto lina tranka na nje wamevulia buti, viatu vya matope UJUE huyu Mjamaa ni Wa SMUCO MWIKA.

9. Ukaona geto ndan mashuka ya kimasai kinabao, hapa usipatwe na Mashaka, Jua huyu ni Mjamaa wa MAKUMIRA. 😜😜😜😜

10. Ukaona geto lina vimodo, vimini, miwani za tittled, jiko la mafuta ya taa, kitandani mito zaidi ya Minne,Visarafu kwenye meza, Tshirt nyingi za semina za family planning, Ukimwi n.k halafu chini tv ya chogo na king'amuz cha continental Ujue huyu MJAMAA ni wa TIA DSM 😱😱😱😱😱😱😱

β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β¬β€΅β¬πŸ†™πŸ†™πŸ†™πŸ†™
JE, KWAKO KUKOJE? ???
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Stephen Malecela (Guest) on July 3, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Neema (Guest) on June 7, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

John Mushi (Guest) on June 1, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on May 15, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 24, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on April 4, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on February 22, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 28, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Sumaya (Guest) on January 26, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on December 26, 2023

πŸ˜‚πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on December 23, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Omari (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Edith Cherotich (Guest) on December 16, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Diana Mallya (Guest) on December 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on November 20, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Bakari (Guest) on November 7, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Elijah Mutua (Guest) on November 1, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on October 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 20, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on July 26, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on July 23, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on June 30, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Nora Lowassa (Guest) on May 19, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lydia Mutheu (Guest) on May 18, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Richard Mulwa (Guest) on May 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on April 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on April 15, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on March 10, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Abubakari (Guest) on March 4, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 22, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on February 2, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 31, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on January 28, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on December 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on December 12, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on November 18, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Esther Cheruiyot (Guest) on October 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on October 19, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Kiza (Guest) on October 12, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on October 11, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Fredrick Mutiso (Guest) on September 11, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on September 10, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Zawadi (Guest) on August 30, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 29, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Wilson Ombati (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Betty Kimaro (Guest) on August 18, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Faiza (Guest) on July 19, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Linda Karimi (Guest) on June 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on June 20, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 20, 2022

Asante Ackyshine

Mary Njeri (Guest) on June 17, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Elizabeth Mrema (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_047a2de47ef0176babfe94866dcbb890, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact