Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ

Jinsi Bikira Maria anavyoelezwa Katika dini ya Kiislamu

โ€ข
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Kurani inamtaja mwanamke mmoja tu, tena mara 34: ni Mariamu, mama wa nabii Isa. Akichanganywa na dada wa Haruni na Musa, aliyekuwa na jina hilohilo, anatajwa kama binti Imrani. Pia habari nyingine kadhaa zinapishana na zile za Injili.
Hata hivyo anapewa heshima ya pekee, kama inavyoonekana katika sura ya 3:43: โ€œNa kumbukeni malaika waliposema, โ€˜Ewe Mariamu, kwa hakika Mwenyezi Mungu amekuchagua na kukutakasa na kukutukuza kuliko wanawake wa walimwenguโ€. Tena katika aya 3:46: โ€œNa kumbukeni waliposema malaika: โ€˜Ewe Mariamu, bila shaka Mwenyezi Mungu anakupa habari njema za Neno litokalo kwake, jina lake Masihi Isa mwana wa Mariamu, mwenye heshima katika dunia na ahera, na yu miongoni mwa waliokaribishwaโ€™โ€.
Aliambiwa amefanywa โ€œisharaโ€ pamoja na mwanae, ingawa haisemwi ni ishara ya nini. Sura ya 19, yenye jina lake, inaeleza kwamba Malaika Jibrili (Gabrieli) akimpasha habari ya mimba alisema, โ€˜Hakika mimi ni mjumbe wa Mola wako ili nikupe mwana mtakatifuโ€™. Akasema, โ€˜Ninawezaje kupata mtoto hali hajanigusa mwanamume yeyote, wala mimi si mwasherati?โ€™ Akasema, โ€˜Ni kama hivyo; Mola wako amesema: Haya ni rahisi kwangu, na ili tukufanya ishara kwa mwanadamu na rehema itokayo kwetu, na ni jambo lililokwisha hukumiwaโ€™ โ€ (19:19-21). โ€œNa mwanamke yule aliyejilinda tupu yake na tukampulizia roho yetu na tukamfanya yeye na mwanawe ishara kwa walimwenguโ€ (21:91).
Pamoja na kusifiwa kwa usafi wake, anaongezewa sifa za imani na unyenyekevu: โ€œNa Mariamu binti Imrani aliyejilinda uchi wake, na tukampulizia humo Roho yetu na kayasadikisha maneno ya Mola wake, na vitabu vyake; na alikuwa miongoni mwa wanyenyekevuโ€ (66:12).
AckySHINE Solutions
โœจ Join AckySHINE for more features! โœจ

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
๐Ÿ‘ฅ Joseph Mallya Guest Jun 7, 2024
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
๐Ÿ‘ฅ Michael Mboya Guest May 21, 2024
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
๐Ÿ‘ฅ Mary Njeri Guest Apr 7, 2024
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
๐Ÿ‘ฅ Sarah Achieng Guest Feb 16, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
๐Ÿ‘ฅ Elizabeth Malima Guest Dec 31, 2023
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Josephine Nduta Guest Dec 31, 2023
Mwamini Bwana; anajua njia
๐Ÿ‘ฅ Alice Jebet Guest Dec 10, 2023
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
๐Ÿ‘ฅ David Musyoka Guest Aug 27, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
๐Ÿ‘ฅ Alice Wanjiru Guest Mar 13, 2023
Imani inaweza kusogeza milima
๐Ÿ‘ฅ Mary Kendi Guest Jan 13, 2023
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kitine Guest Dec 25, 2022
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
๐Ÿ‘ฅ Anna Kibwana Guest Dec 7, 2022
Wakati wa Mungu ni kamilifu
๐Ÿ‘ฅ Grace Wairimu Guest Oct 23, 2022
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
๐Ÿ‘ฅ Victor Kamau Guest Oct 15, 2022
Dumu katika Bwana.
๐Ÿ‘ฅ Joyce Mussa Guest Oct 12, 2022
Kwa Mungu, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Esther Cheruiyot Guest May 31, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
๐Ÿ‘ฅ Agnes Njeri Guest May 31, 2022
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest May 24, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
๐Ÿ‘ฅ Betty Cheruiyot Guest Jul 20, 2021
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
๐Ÿ‘ฅ Brian Karanja Guest Jun 30, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
๐Ÿ‘ฅ Alex Nakitare Guest May 26, 2021
Nakuombea ๐Ÿ™
๐Ÿ‘ฅ Ann Wambui Guest Apr 3, 2021
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest Dec 20, 2020
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
๐Ÿ‘ฅ Richard Mulwa Guest Nov 26, 2020
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mushi Guest Oct 9, 2020
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
๐Ÿ‘ฅ Sarah Karani Guest Sep 24, 2020
Katika imani, yote yanawezekana
๐Ÿ‘ฅ Samuel Omondi Guest Apr 30, 2020
Mwamini katika mpango wake.
๐Ÿ‘ฅ Peter Mugendi Guest Dec 15, 2019
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Lucy Mahiga Guest Aug 1, 2019
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
๐Ÿ‘ฅ Joseph Kawawa Guest Jul 29, 2019
Sifa kwa Bwana!
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest Jul 9, 2019
Mungu akubariki!
๐Ÿ‘ฅ Susan Wangari Guest Feb 18, 2019
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
๐Ÿ‘ฅ Anna Kibwana Guest Feb 5, 2019
Baraka kwako na familia yako.
๐Ÿ‘ฅ Elijah Mutua Guest Jan 22, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
๐Ÿ‘ฅ Michael Mboya Guest Oct 12, 2018
Endelea kuwa na imani!
๐Ÿ‘ฅ Peter Mwambui Guest Aug 23, 2018
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
๐Ÿ‘ฅ Nancy Kawawa Guest May 7, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
๐Ÿ‘ฅ Jacob Kiplangat Guest Apr 9, 2018
Rehema hushinda hukumu
๐Ÿ‘ฅ David Sokoine Guest Nov 15, 2017
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
๐Ÿ‘ฅ Lucy Wangui Guest Jul 19, 2017
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
๐Ÿ‘ฅ David Sokoine Guest Feb 23, 2017
Rehema zake hudumu milele
๐Ÿ‘ฅ Stephen Amollo Guest Jan 9, 2017
Neema ya Mungu inatosha kwako
๐Ÿ‘ฅ Benjamin Masanja Guest Dec 28, 2016
Tumaini ni nanga ya roho
๐Ÿ‘ฅ Stephen Malecela Guest Oct 13, 2016
Neema na amani iwe nawe.
๐Ÿ‘ฅ Daniel Obura Guest Jun 23, 2016
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
๐Ÿ‘ฅ Agnes Njeri Guest Mar 23, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
๐Ÿ‘ฅ Faith Kariuki Guest Feb 17, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
๐Ÿ‘ฅ Anna Sumari Guest Dec 20, 2015
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
๐Ÿ‘ฅ Patrick Akech Guest Nov 27, 2015
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
๐Ÿ‘ฅ Andrew Mchome Guest Oct 2, 2015
Nguvu hutoka kwa Bwana

๐Ÿ”— Related Posts

๐Ÿ  Home ๐Ÿ“– Reading ๐Ÿ–ผ๏ธ Gallery ๐Ÿ’ฌ AI Chat ๐Ÿ“˜ About