Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Mafundisho kuhusu Neema

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Je, tunaweza kuhakikisha neema ya utakaso?
Hapana, hatuwezi kuhakikisha neema ya utakaso kwa kuwa ni tukio ambalo linapita maumbile na kufanyika rohoni, hivyo halifikiwi na hisi zetu. Pengine Mungu anatokeza dalili fulani za badiliko hilo kama vile furaha ya ndani au karama ya nje, lakini hizo hazihitajiki wala hazitoshi kuthibitishia mtu amepata neema hiyo.
β€œWengi wataniambia siku ile: Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi? Ndipo nitawaambia dhahiri: Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu” (Math 7:22-23).
β€œNijaposema kwa lugha za wanadamu na za malaika, kama sina upendo, nimekuwa shaba iliayo na upatu uvumao. Tena nijapokuwa na unabii, na kujua siri zote na maarifa yote, nijapokuwa na imani timilifu kiasi cha kuweza kuhamisha milima, kama sina upendo, si kitu mimi. Tena nikitoa mali zangu zote kuwalisha maskini, tena nikijitoa mwili wangu niungue moto, kama sina upendo, hainifaidii kitu” (1Kor 13:1-3).

Neema ni nini?
Neema ni kipaji cha roho kinachopita nguvu za viumbe vyote; ndicho kipaji tupewacho na Roho Mtakatifu ili tupate uzima wa milele. (Lk 1:30, Rum 5:2)

Kuna aina ngapi za neema?
Kuna aina mbili za neema
1. Neema ya utakaso 2. Neema ya msaada

Neema ya Utakaso ni nini?
Neema ya Utakaso ni uzima wa Kimungu unaomiminwa na Roho Mtakatifu mioyoni mwetu. (Yoh 1:16, Yoh 3:3-5)

Neema ya Utakaso yapatikanaje?
Neema ya Utakaso yapatikana kwa; 1. Kwanza kwa Sakramenti ya Ubatizo 2. Sakramenti ya Kitubio 3. Kwa majuto kamili (majuto ya mapendo)
4. Yaongezwa kwa kupokea Sakramenti nyingine 5. Kwa Sala 6. Kwa Ibada Takatifu 7. Kwa matendo mema

Neema ya Utakaso yapoteaje?
Neema ya Utakaso yapotea kwa kutenda dhambi kubwa (dhambi ya mauti)

Kuna Faida ya kuwa na Neema ya Utakaso?
Faida ya kuwa na Neema ya Utakaso ni;-
1. Kupendwa na Mungu hapa duniani 2. Na kupokelewa kwake mbinguni baada ya kufa

Neema ya Msaada ni nini?
Neema ya Msaada ni msaada tupatao kwa Roho Mtakatifu kutuongezea nguvu Rohoni tutende mambo mema na tuepuke Mabaya

Neema ya Msaada yapatikanaje?
Neema ya Msaada yapatikana kwa kupokea Sakramenti, kusali, na kutenda mambo ya Ibada (Yoh 15:5, 1Tim 2:4)
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jul 22, 2024
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Apr 18, 2024
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Apr 7, 2024
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Stephen Kikwete Guest Apr 6, 2024
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Vincent Mwangangi Guest Jan 28, 2024
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Joy Wacera Guest Jan 11, 2024
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Nov 30, 2023
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ Alice Jebet Guest Nov 13, 2023
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Sep 11, 2023
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Samuel Omondi Guest May 26, 2023
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Sarah Karani Guest May 4, 2023
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Feb 27, 2023
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Edward Lowassa Guest Jan 13, 2023
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Jan 9, 2023
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ Stephen Malecela Guest Oct 4, 2022
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Grace Mushi Guest Feb 19, 2022
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ David Nyerere Guest Dec 5, 2021
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Sep 15, 2021
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Aug 3, 2021
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Chris Okello Guest Jun 8, 2021
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ Christopher Oloo Guest May 16, 2021
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Anna Malela Guest May 3, 2021
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Martin Otieno Guest Apr 21, 2021
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Stephen Amollo Guest Apr 18, 2021
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Monica Adhiambo Guest Feb 27, 2021
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Samson Tibaijuka Guest Feb 23, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Oct 28, 2020
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Nancy Kawawa Guest Oct 8, 2020
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Edwin Ndambuki Guest Oct 5, 2020
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Jackson Makori Guest Jan 17, 2020
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Elijah Mutua Guest Oct 29, 2019
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Moses Mwita Guest Oct 17, 2019
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Jul 21, 2019
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ John Lissu Guest Jul 10, 2019
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Frank Sokoine Guest Apr 1, 2019
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ Victor Kamau Guest Nov 1, 2018
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Aug 3, 2018
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Catherine Naliaka Guest Jul 27, 2018
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Apr 4, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ James Mduma Guest Jan 8, 2018
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Dec 8, 2017
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Alice Mwikali Guest Mar 14, 2017
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Alex Nyamweya Guest Jan 10, 2017
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ John Kamande Guest Oct 16, 2016
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Anna Sumari Guest Oct 6, 2016
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest Jul 20, 2016
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Jun 19, 2016
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Joseph Kawawa Guest Mar 23, 2016
Dumu katika Bwana.
πŸ‘₯ Lucy Mahiga Guest Dec 15, 2015
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Samuel Were Guest Sep 13, 2015
Tumaini ni nanga ya roho

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About