Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰

Maswali na Majibu kuhusu dhamira

β€’
Author/Editor: Melkisedeck Leon Shine, 2015-2017: AckySHINE.com
Featured Image
Dhamiri adilifu ni nini?
Dhamiri adilifu, iliyo ndani kabisa mwa mtu, ni uamuzi wa akili ambao kwa wakati wake unamuagiza mtu atende mema na kukwepa maovu

Katika hukumu zake dhamira ifuate nini?
Katika hukumu zake dhamira ifuate daima Injili, Amri za Mungu na za Kanisa na wajibu zetu.

Twajenga na kutunza dhamira zetu namna gani?
Twajenga na kutunza dhamira zetu kwa;-
1. Kufuata sauti ya Roho Mtakatifu 2. Kuzingatia mafundisho ya dini 3. Kuzingatia mila na desturi njema tulizopata katika malezi. 4 Kufuata mifano na tabia njema ya wenzetu na ya Watakatifu

Hadhi ya nafsi ya mtu inadai nini kuhusu dhamiri adilifu?
Hadhi ya nafsi ya mtu inadai unyofu wa dhamiri adilifu, yaani upande wa akili na sheria ya Mungu

Dhamiri adilifu inaundwa namna gani iwe nyofu na ya kweli?
Dhamiri nyofu inayosema kweli inaundwa kwa;
1. Malezi 2. Upokeaji wa neno la Mungu 3. Upokeaji wa Mafundisho ya Kanisa 4. Sala 5. Utafiti wa dhamiri

Dhamiri adilifu inatengenezwa na kusaidiwa na nini?
Dhamiri adilifu inatengenezwa na vipaji vya Roho Mtakatifu na kusaidiwa na mashauri ya watu wenye busara.

Dhamiri inatakiwa kufuata daima masharti gani?
Dhamira inatakiwa kufuata daima masharti yafuatayo
1. Hairuhusiwi kutenda maovu kusudi yapatikane mema 2. Yoyote muyatakayo mtendewe na watu, ninyi watendeeni vivyo hivyo. (Mt 7:12) 3. Upendo hufuata daima nia na heshima kwa jirani na kwa dhamira yake
AckySHINE Solutions
✨ Join AckySHINE for more features! ✨

Comments 50

Please log in or register to comment or reply.
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Jul 22, 2024
Mungu ni mwaminifu; hatakuacha kamwe wala hatakupungukia
πŸ‘₯ Philip Nyaga Guest Apr 7, 2024
Katika udhaifu wetu, rehema za Mungu zinatupa nguvu
πŸ‘₯ Betty Cheruiyot Guest Mar 16, 2023
Tembea kwa imani, si kwa kuona
πŸ‘₯ Jane Malecela Guest Mar 9, 2023
Nakuombea πŸ™
πŸ‘₯ Francis Mtangi Guest Feb 2, 2023
Baraka kwako na familia yako.
πŸ‘₯ George Ndungu Guest Sep 16, 2022
Katika imani, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Bernard Oduor Guest Aug 19, 2022
Rehema za Mungu ni kubwa kuliko kosa lolote
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Jun 29, 2022
Mungu ana mpango kwa ajili yako, muamini
πŸ‘₯ Elizabeth Mrope Guest Jun 17, 2022
Katika giza, nuru yake inaangaza zaidi
πŸ‘₯ John Mushi Guest Jun 1, 2022
Mungu ni mwema, wakati wote!
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest May 18, 2022
Sifa kwa Bwana!
πŸ‘₯ Benjamin Masanja Guest Feb 21, 2022
Tumaini ni nanga ya roho
πŸ‘₯ Janet Sumari Guest Nov 5, 2021
Kuna tumaini kwa ajili ya siku zijazo, maana Mungu anajua mipango aliyokupangia
πŸ‘₯ Henry Sokoine Guest Aug 26, 2021
Anaponya mioyo iliyovunjika na kufunga majeraha yao
πŸ‘₯ Nancy Kabura Guest Jun 27, 2021
Hauko peke yako; Mungu yuko nawe
πŸ‘₯ Violet Mumo Guest Jun 9, 2021
Wacha nuru yako iangaze mbele ya wengine
πŸ‘₯ David Chacha Guest Apr 24, 2021
Mwamini katika mpango wake.
πŸ‘₯ Hellen Nduta Guest Feb 18, 2021
Upendo wa Mungu haukosei kamwe.
πŸ‘₯ Diana Mumbua Guest Dec 16, 2020
Ahadi za Mungu ni za kweli daima
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Dec 13, 2020
Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu, siku zote tayari kusaidia wakati wa shida
πŸ‘₯ Grace Wairimu Guest Oct 28, 2020
Mungu akubariki!
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest May 22, 2020
Endelea kuamini, hata ikiwa ni vigumu kuona njia
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Mar 26, 2020
Hadithi yako haijaisha; Mungu bado anaandika
πŸ‘₯ John Malisa Guest Oct 17, 2019
Wacha imani yako iwe kubwa kuliko hofu yako
πŸ‘₯ Kenneth Murithi Guest Aug 13, 2019
Endelea kuwa na imani!
πŸ‘₯ Francis Mrope Guest Jun 16, 2019
Rehema zake hudumu milele
πŸ‘₯ Mercy Atieno Guest May 15, 2019
Mwamini Bwana; anajua njia
πŸ‘₯ Rose Waithera Guest Apr 20, 2019
Bwana atapigana kwa ajili yako; wewe unahitaji tu kutulia
πŸ‘₯ Lucy Wangui Guest Feb 20, 2019
Tumeokolewa kwa rehema zake, si kwa matendo yetu
πŸ‘₯ David Musyoka Guest Dec 27, 2018
Rehema zake ni ukumbusho wa daima wa upendo wake
πŸ‘₯ Grace Mligo Guest Jul 8, 2018
Katika rehema zake, Mungu husamehe na kurejesha
πŸ‘₯ Ruth Mtangi Guest Jun 8, 2018
Upendo wa Mungu na rehema zake havikosei kamwe
πŸ‘₯ John Lissu Guest Dec 8, 2017
Mwamini Bwana kwa moyo wako wote, na usitegemee ufahamu wako mwenyewe
πŸ‘₯ Thomas Mwakalindile Guest Dec 4, 2017
Katika uwepo wake, kuna ukamilifu wa furaha
πŸ‘₯ Agnes Lowassa Guest Aug 30, 2017
Kwa Mungu, yote yanawezekana
πŸ‘₯ Ann Awino Guest Aug 17, 2017
Rehema hushinda hukumu
πŸ‘₯ Samuel Were Guest May 3, 2017
Imani inakua imara zaidi wakati wa majaribu
πŸ‘₯ Joseph Kiwanga Guest Jan 22, 2017
Kupitia Kristo, tunapokea rehema za Mungu kwa wingi
πŸ‘₯ Stephen Mushi Guest Dec 10, 2016
Neema na amani iwe nawe.
πŸ‘₯ Francis Njeru Guest Dec 9, 2016
Bwana yuko karibu na wote wanaomwita
πŸ‘₯ Peter Mugendi Guest Nov 20, 2016
Mungu ana kusudi hata katika maumivu yako
πŸ‘₯ Margaret Mahiga Guest Oct 9, 2016
Hata chembe ya haradali ya imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Victor Kimario Guest Aug 5, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Patrick Kidata Guest Jul 14, 2016
Rehema za Mungu ni mpya kila asubuhi
πŸ‘₯ Mariam Hassan Guest Jun 20, 2016
Nguvu hutoka kwa Bwana
πŸ‘₯ Victor Sokoine Guest May 28, 2016
Imani ni kuwa na uhakika wa kile tunachotarajia na kujua kwa hakika kile ambacho hatuoni
πŸ‘₯ Nancy Komba Guest May 5, 2016
Neema ya Mungu inatosha kwako
πŸ‘₯ Diana Mallya Guest Feb 14, 2016
Wakati wa Mungu ni kamilifu
πŸ‘₯ Grace Njuguna Guest Aug 13, 2015
Imani inaweza kusogeza milima
πŸ‘₯ Peter Mbise Guest May 22, 2015
Dumu katika Bwana.

πŸ”— Related Posts

🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About