Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
236 πŸ’¬ ⬇️

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

SMS Mafua ndiyo hii

Featured Image
238 πŸ’¬ ⬇️

Hii ndiyo maana ya matatizo

Featured Image
237 πŸ’¬ ⬇️

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Featured Image
Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!? Mama: Hapana mwanangu sijakuona.
236 πŸ’¬ ⬇️

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Featured Image

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi?
MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu?

236 πŸ’¬ ⬇️

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Featured Image
Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: kimya Polisi::: hodi, hodi Jamaa::: we nani kwani? Polisi::: sisi polisi Jamaa::: mnataka nini?
236 πŸ’¬ ⬇️

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️

Hii ndiyo bongo sasa!!

Featured Image
253 πŸ’¬ ⬇️

Bongo usanii mwingi!!!

Featured Image
236 πŸ’¬ ⬇️
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About