Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/sidebar.php on line 18

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/right_sidebar.php on line 13
Sidebar with Floating Button
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/top_menu.php on line 10
AckySHINE Katoliki
☰
AckyShine
Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/display_user.php on line 4

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Featured Image

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.

6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
πŸ’₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

AckySHINE Solutions

Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/comments.php on line 4

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Lissu (Guest) on May 30, 2024

🀣πŸ”₯😊

Rukia (Guest) on May 26, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Peter Mugendi (Guest) on April 22, 2024

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on April 20, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on March 31, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on March 22, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on March 12, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on February 24, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 19, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on January 28, 2024

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on December 31, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Sumari (Guest) on November 26, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on November 16, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Ndoto (Guest) on November 6, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Violet Mumo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on October 30, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ahmed (Guest) on October 16, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on October 3, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 23, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Michael Mboya (Guest) on July 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Adhiambo (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Mushi (Guest) on June 14, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on June 14, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on June 2, 2023

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Monica Lissu (Guest) on May 21, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Sumaya (Guest) on May 16, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Saidi (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwanahawa (Guest) on May 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mwalimu (Guest) on April 29, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Mallya (Guest) on April 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on April 17, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Francis Mrope (Guest) on April 13, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

George Ndungu (Guest) on April 5, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Safiya (Guest) on April 2, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jackson Makori (Guest) on March 26, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 21, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on February 18, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on January 24, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Kawawa (Guest) on December 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on November 27, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on October 7, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Sokoine (Guest) on October 7, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on October 6, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on September 14, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Shamsa (Guest) on September 11, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Fadhila (Guest) on September 6, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on August 17, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 9, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Catherine Mkumbo (Guest) on July 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Kenneth Murithi (Guest) on July 26, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on June 4, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Daniel Obura (Guest) on May 22, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Joyce Nkya (Guest) on May 5, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Henry Mollel (Guest) on April 6, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More


Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php81/sess_9544a6536680e0ce27d2f8a57da554d6, O_RDWR) failed: No such file or directory (2) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php81) in /home/ackyshine/katoliki/bottom_menu.php on line 3
πŸ“˜ About πŸ”’ Login πŸ“ Register πŸ“ž Contact